Kwa miaka mingi suala hili lilikuwa ni SIRI.
Lakini ktk zama hizi za utawandawazi habari hizi zimeanza kujitokeza.
Kuna makala iliandikwa na Makwaia Kuhenga kuzungumzia tukio hili.
Jenerali Ulimwengu, ktk gazeti la raia mwema, amezungumzia ushiriki wa Brigadier.Hassan Ngwilizi ktk operation ya JWTZ Seychelles.
Waziri Membe pia amewahi kuulizwa na vyombo vya habari na alitoa jibu fupi kuhusu kilichotokea.
Kwa mtizamo wangu haya ni mambo ya kihistoria ambayo yanapaswa kuwekwa wazi. Tusipoandika historia yetu wenyewe, wengine watafanya hivyo na hilo lina madhara yake.
cc Moshe Dayan, Nyenyere, Junior Clinton Mr.
Lakini ktk zama hizi za utawandawazi habari hizi zimeanza kujitokeza.
Kuna makala iliandikwa na Makwaia Kuhenga kuzungumzia tukio hili.
Jenerali Ulimwengu, ktk gazeti la raia mwema, amezungumzia ushiriki wa Brigadier.Hassan Ngwilizi ktk operation ya JWTZ Seychelles.
Waziri Membe pia amewahi kuulizwa na vyombo vya habari na alitoa jibu fupi kuhusu kilichotokea.
Kwa mtizamo wangu haya ni mambo ya kihistoria ambayo yanapaswa kuwekwa wazi. Tusipoandika historia yetu wenyewe, wengine watafanya hivyo na hilo lina madhara yake.
Soldiers From Tanzania Help Defend Seychelles, Aide Says
Reuters
Published: December 31, 1981
VICTORIA, the Seychelles, Dec. 30 Tanzanian troops are helping man airport and coastal defense positions after last month's coup attempt by mercenaries, Maj. James Michel, the Seychelles Information Minister, said today.
Major Michel, who is also Chief of Staff of the Seychelles Defense Forces, said Tanzanian soldiers, who had been training the Seychelles Army since 1977, had ''almost all gone home'' before the mercenaries attacked the airport on the main island of Mahe on Nov. 25.
''But right after the attack Tanzania sent combat troops and they are now supplementing our own defense forces at the airport and coastal defense positions to help us counter any future aggressions,'' Major Michel said. ''They will stay as long as is needed.''
cc Moshe Dayan, Nyenyere, Junior Clinton Mr.
Last edited by a moderator: