jorochere95
JF-Expert Member
- Oct 27, 2015
- 294
- 152
Upo sawa mkuuMIMI NAVYOJUA MILITARY CAPABALITY WANAANGALIA RASILIMALI ZA JESHI NIKIWA NA MAANA: WATU, VIFAA, FEDHA, UFAHAMU NA KADHALIKA.
KWANZA TUANGALIE WATU WANGAPI WAKO JESHINI? PILI VIFAA VYETU VYA KIVITA NA USASA WAKE, TATU BAJETI YA JESHI LA TANZANIA KWA MWAKA, NNE UFAHAMU WA WANAJESHI WETU, NA MENGINE KAMA UONGOZI, VYUO VYA MAFUNZO, TEKNOLOJIA TUMEIPOKEA VIPI?
haki....kueka maisha ya civilians at risk ndio haki?kwa hiyo we huna shida na kutumia civilians kama human shield.No wonder you are all here talking shit cz you dont have respect for innocent human lifeKwani nyinyi mipoenda somalia mlipatana na al shabbab wasitumie baadhi ya mbinu hivi unajua vita kweli wewe acheni upumbavu piganeni atutaki kulialia hiyo ni haki yao kupigana wanavyoweza
Kati ya kenya na Tanzania nani anarespect human rights? Mngekuwa mnaheshimu mngeenda somalia? Wacha wawachezeshe gwaride mpaka mnyooke.haki....kueka maisha ya civilians at risk ndio haki?kwa hiyo we huna shida na kutumia civilians kama human shield.No wonder you are all here talking shit cz you dont have respect for innocent human life
Uongo Kuna G20, Saudia Arabia, Egypt, North Korea, Algeria, Tunisia, Libya, Morocco, Pakistan Turkey, na nchi nyenginezo, bado jw Iwe Ya 27, fungua ubongo, labda jw wangeongoza kwa uzinzi na pombeWewe dogo toa upunga wako hapa. JWTZ ni namba 27 duniani wewe unasemaje?
Sasa wao wangejali cvl ingekuwa nyinyi mna jali nini kama wanaua hadi wanafunzi kwenye vyuo vyenu unategemea wajali RAIA kama m23 ingekuwa inajali RAIA tz isingepeleka jeshi kupambana nao sasa inakuwaje wakenya kuwataka al shabbab kujali RAIA kweli Kenya imejaa machizihaki....kueka maisha ya civilians at risk ndio haki?
na nyinyi mlienda fanya nini congoKati ya kenya na Tanzania nani anarespect human rights? Mngekuwa mnaheshimu mngeenda somalia? Wacha wawachezeshe gwaride mpaka mnyooke.
Amani inaletwa na raia sio jeshi,Sikubaliani na Vigezo vilivyotumika, nchi yetu ni kubwa na ina mipaka nane na bahari ya Hindi.
Kimantiki Amani ya nchi yetu na wingi wa mipaka ni kielelezo cha kutosha kusema Jeshi letu inafanya kazi kubwa kiasi ya kuwa juu katika ranks za ubora wa majeshi ya Dunia tofauti ilivyo sasa.
Anyway kwa sababu wakubwa wamesema Jeshi letu liko chini katika ranks za majeshi, kiuhalisia hali hiyo itumike kulihimalisha jeshi letu na tusiwape updates zozote juu ya uimara wa Jeshi letu.
I think wakuja pale nnapotaka sasa....tunajali that's why hatuezi kuenda lipualipua kila mahali tumalize war within one year.thats why this war is very different nahiyo yenu mlipigana msituni nawatu mnaowajua...so ujuaji mwingi peleka kandoSasa wao wangejali cvl ingekuwa nyinyi mna jali nini kama wanaua hadi wanafunzi kwenye vyuo vyenu unategemea wajali RAIA kama m23 ingekuwa inajali RAIA tz isingepeleka jeshi kupambana nao sasa inakuwaje wakenya kuwataka al shabbab kujali RAIA kweli Kenya imejaa machizi
Kwikwikwikwi. Nakwambia kuhusu TZ tunajua vita vya mjini na porini. Comoro vilikuwa vya mjini. Huko Uganda tulisafish mjini na porini, Msumbiji tulihakikisha pako salama mjini na porini.I think wakuja pale nnapotaka sasa....tunajali that's why hatuezi kuenda lipualipua kila mahali tumalize war within one year.thats why this war is very different nahiyo yenu mlipigana msituni nawatu mnaowajua...so ujuaji mwingi peleka kando
wewe nshakuweka kwa ignore list yangu.....endelea kujibambaKwikwikwikwi. Nakwambia kuhusu TZ tunajua vita vya mjini na porini. Comoro vilikuwa vya mjini. Huko Uganda tulisafish mjini na porini, Msumbiji tulihakikisha pako salama mjini na porini.
Ukiongelea TZ usijichekeshe chekeshe.
Mmoja ya mwanajeshi aliyepigana akiwa mwanajeshi wa TZ huko msumbiji na Kaguta Mseven. Alienda huko akiwa chini ya Tanzania. Mafunzo yote ya kijeshi alipata hapa TZ.
Wewe usiichezee TZ. Kabila kakulia TZ, Mseven usiseme chochote, Kagame alikuwa anakaa magomen. Kwahiyo nyie madogo wa kenya fungeni madomo yenu.
Kwikwikwi. Sasa huo ni utoto. Ukizidiwa unaweka mpira kwapani. Huna ubavu wa kushindana na nchi kubwa TZ yenye ushawish mkubwa sana Africa na duniani. Au hujui tukueleze?wewe nshakuweka kwa ignore list yangu.....endelea kujibamba
umefika kiwango gani cha elimuKwikwikwi. Sasa huo ni utoto. Ukizidiwa unaweka mpira kwapani. Huna ubavu wa kushindana na nchi kubwa TZ yenye ushawish mkubwa sana Africa na duniani. Au hujui tukueleze?
Comoro Jw ilisaidiwa na Sudan na Uganda ilisaidiwa na Libya na huko Msumbiji askari walitoka Zanzibar sio bara kama ndo unavyodidai, hapo ndipo ukipoanza ugomvi wa Nyerere na KarumeKwikwikwikwi. Nakwambia kuhusu TZ tunajua vita vya mjini na porini. Comoro vilikuwa vya mjini. Huko Uganda tulisafish mjini na porini, Msumbiji tulihakikisha pako salama mjini na porini.
Ukiongelea TZ usijichekeshe chekeshe.
Mmoja ya mwanajeshi aliyepigana akiwa mwanajeshi wa TZ huko msumbiji ni Kaguta Mseven. Alienda huko akiwa chini ya Tanzania. Mafunzo yote ya kijeshi alipata hapa TZ.
Wewe usiichezee TZ. Kabila kakulia TZ, Mseven usiseme chochote, Kagame alikuwa anakaa magomen. Kwahiyo nyie madogo wa kenya fungeni madomo yenu.
[emoji23] [emoji23] hata mimi karibu nimuulizeumefika kiwango gani cha elimu
Ukizoea kula dona siku ukipewa pilau utasema umewekewa sumuDuh 27!!! hao wametumia vigezo gan kujirank iyo nafasi?
Pyuuu sijui unaongea nini hapa sasa hebu andika vizuri ueleweka maana hueleweki. Samahani lakini.Comoro Jw ilisaidiwa na Sudan na Uganda ilisaidiwa na Libya na huko Msumbiji askari walitoka Zanzibar sio bara kama ndo unavyodidai, hapo ndipo ukipoanza ugomvi wa Nyerere na Karume
Wewe jua kwamba ninakuzidi kwa kila kitu.umefika kiwango gani cha elimu
Kwahiyo mmewashindwa al shabbab sasa simuondoke kama msha jua amtawaweza kwa sababu wamejichanganya na RAIA mnangoja nnI think wakuja pale nnapotaka sasa....tunajali that's why hatuezi kuenda lipualipua kila mahali tumalize war within one year.thats why this war is very different nahiyo yenu mlipigana msituni nawatu mnaowajua...so ujuaji mwingi peleka kando