Tatizo hujui lugha Ya kiswahili, ibara yeyote ikiongelewa, basi humkusudia mtu alie karibu katika ibara hio kwa mfano vipi huko Msumbiji walipelekwa Jeshi kutoka Zanzibar, kitendo hicho ndicho kilichofanya karume na Nyerere kuwa na bifu, hapo umeelewa auPyuuu sijui unaongea nini hapa sasa hebu andika vizuri ueleweka maana hueleweki. Samahani lakini.