Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Hawana vifaa vya kufanya hiyo kazi, JWTz Kuna idara ya uhandisi na vifaa vingi vya uokoaji na uhandisi.Hiyo issue ndogo sana naamin hata jesh la magereza wangeweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana vifaa vya kufanya hiyo kazi, JWTz Kuna idara ya uhandisi na vifaa vingi vya uokoaji na uhandisi.Hiyo issue ndogo sana naamin hata jesh la magereza wangeweza
Mbona kama una msongo wa mawazo baby. Sijasema chochote against. Nilimaanisha kampuni ya kwanza ilitumia mtindo wa kufunga chain na kuvuta. Hata kama ni small object haiwezi vutwa kwenye river bunk .okey next time tenganisha shida zako na exchange of ideas .uwe na wakati mwema mamaJeshi wametoa kwa kulisukuma?
Yaani sijui nikutukane mtusi mkubwa wa kwenye chupi yako ndio unielewe au?
Nimesema hivii!!!jeshi wao wamefanikiwa kulitoa kwa sababu vifaa/vitendea kazi wao wanavyo vya kutosha vya aina yote. Na vile vile hata huko uraiani kuna makampuni makubwa yanavuo ila ni gharama kuvikodi asiniaminishe eti bila jeshi ni kuwa hilo gari eti ndo lisinge kaa litolewe.
Sijui hata umeandika nini.Huyu mama amesema kama kuna kampuni lolote lenye uwezo lijitokeze, wapi anekuambia kwamba yamejitokeza lakini amedhindwa kulipa?. Wacha kuzungumza vitu toka kichwani mwako.https://youtu.be/3u5MXSmvWF0
Hivi unajua uwezo wa kufanya kazi unategemea kuwepo kwa hivyo vitendea kazi, ujuzi, watu, mtaji na isimamizi bora, kukosekana kwa hivyo vifaa ndio kushindwa kazi, sasa utasemaje hawajashindwa ila ni kwasababu hawana vifaa?
Shida ilikuwa kwenye dau lake ndio kilichomponza any way tuyaache hayo yashapitaTuliza akili basi kaka, mbona unaonekana ni mtu mapepe sana?. Hiyo Gari ni Mali ya mtu binafsi, na kwasababu ndani hakuna mwili wa kuopolewa, hakuna ulazima wowote wa Serikali kuingilia kati, alipaswa kufanya juhudi zake binafsi kulitoa, au aliache hapo Kama wanavyoacha watu wengine.
Alitumia makampuni binafsi kuifanya hiyo kazi kwa takriban siku kumi, lakini yameshindwa huku yakitoa sababu mbalimbali, ikiwemo kina cha MAJI, kasi ya MAJI, uzito wa Gari na mzigo uliobeba, kukosekana kwa wazamiaji mahiri.
Sasa wewe unasema ninstaka kukuaminisha nini wakati hao waopoaji wenyewe wa kibinafsi wamesalimu amri?. Huyu mama mwenyewe hili Lori amesema kama kuna mtu, kampuni au shirika lolote lenye uwezo wa kulitoa wanaomba wajitokeze, mbona hakuna hata mtu mmoja aliyejitokeza?
Magereza mbali mno jeshi la CCM greenguardHiyo issue ndogo sana naamin hata jesh la magereza wangeweza
Hiyo ni kazi inayoweza kufanyika na tekinolojia ya karne ya 20,sio jambo kubwa,MY TAKE: Kamwe JW halijawahi kushindwa vitu vidogo kama hivi, itawachukua masaa machache kyjamilisha hii kazi hapo Kesho. TPDF hoyeeeeee
=======
Jeshi la Wananchi wa Tanzania limetuma timu ya wataalamu kwenda kutoa lori la mizigo ambalo limetumbukia katika Daraja la Mto Wami kwa zaidi ya wiki moja na kushindikana kutolewa .
Kiongozi wa timu hiyo Kapteni Obed Mwakalobo kutoka Kikosi cha Nyumbu amemwambia Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa kwamba kazi ya kutoa lori hilo imeshaanza na wanatarajia ifikapo kesho iwe imekamilika.
Amesema kwa sasa wataalamu hao tayari pamoja na wazamiaji wameshawasili katika eneo lilikotumbukia lori hilo na wameshaanza kuzamia ndani ya maji kuangalia namna ambavyo lori hilo litakavyotolewa.
Kwa upande wake mmiliki wa lori hilo Mwajuma Selemani ameishukuru serikali kwa kutuma wataalamu hao wa jeshi kwenda kusaidia kutoa lori hilo.
Kwandikwa amesema serikali itasimamia zoezi hilo pamoja na kulifanyia maboresho daraja hilo ili liendelee kutumuka hadi hapo mradi wa ujenzi wa daraja jipya katika mto huo utakapokamilika.
Lete mifano wacha kuzungumza vitu visivyokua na uhakika, huyo mama hapo anasema kwa kampuni lolote lenye uwezo wa kulitoa wajitokeze ili wazungumze, kwani hilo kampuni lililoshindwa wangefanikiwa wasingelipwa?.Sijui hata umeandika nini.
Yaani mtu anashida alafu eti anăangaza kama kuna kampuni?huyo mama alikiwa analia anaomba msaada kwa rais amsaidie maana alikuwa hana hela na gari ndio safari ya kwanza tangu limeingia road.hilo la jeshi 3eti rasilimli watu bado haliingii akilini au ngivu zao eti kwa sababu ni jeshi.wenye makampuni yao waliangalia malipo ya huyo mama ikaonekana masilahi hakuna sio kwamba eri walishindwa. Plies usiniaminishe hilo kwani mara ngapi tunaona hata hao jeahi kuna yanayowashinda wanaomba maada kwenye kampimuni za kiraia
Pole sana wacha ninyamaze tufanye umeshinda wewe.Lete mifano wacha kuzungumza vitu visivyokua na uhakika, huyo mama hapo anasema kwa kampuni lolote lenye uwezo wa kulitoa wajitokeze ili wazungumze, kwani hilo kampuni lililoshindwa wangefanikiwa wasingelipwa?.
Wewe unasema makampuni yameona huyo mama hawezi kulipa, taja ni kampuni gani hilo lenye uwezo wa kulitoa lakini liliona huyo mama hana pesa, je wewe ni mfanyakaxi wa hilo kampuni au ulijuaje?, pia tuambie ni wapi jeshi lilishindwa na kuomba msaada, na huo msaada waliomba kwa kampuni gani?. Wacha kuzungumza mambo ya kufikiria ambayo huna uhakika wala ushahidi.
Tanzania ya sasa ni tofauti na zilizopita.ingekuwa wataalam kutoka South au Europe.Ila TZ ya sasa inamaliza yenyewe.
sawa bwasheeIla nyie jamaa mna matatizo mahali