TPDF (Wazee wa kazi) watumia masaa sita kuliopoa lori

TPDF (Wazee wa kazi) watumia masaa sita kuliopoa lori

kuna swali linarukwa hapa, INJINI IPO WAPI?? inamaana wezi waliifungua mtoni bila kuogopa mamba au waliitoa kwanza kabla ya kutoa gari?
 
Team kutoka JWTZ imefika Wami ikiwa na Gari mbili za uokoaji na imefanikiwa kulichomoa Lori hilo leo, awali kabla ya Jeshi kuingilia kati waokoaji wa kwanza walishindwa kutokana na madai ya uwepo wa kina kirefu, kasi ya maji, maji machafu nk, hadi kufanya Mwajuma akate tamaa na kurudi DSM.




MY TAKE; Tanzania hoyeeeeeee

Hongera sana JWTZ, asante sana mkuu wetu wa Majeshi Mungu akupe afya na hekima akuongezee.
Hongereni sana Komba na wanajeshi wote, mmenifnya nitoke machozi kwa upendo wenu kwa wananchi, eeh Mungu awabariki sana.
 
Unajua maana ya muda wa kazi?, ni kuanzia pale unapokabidhiwa kazi kuifanya, JW waliamua kuingilia kati baada ya makampuni binafsi ambao ndio wenye jukumu la kuitoa.

Kenya Serikali yenu na vyombo vyake vyote vilianza kazi na kuhamia eneo la tukia siku ya kwanza tu baada ya Gari kutumbukia baharini, walikamisha hilo zoezi baada ya siku 24.

JW hawakua na jukumu wala wajibu wa kuitoa hiyo Gari, baada ya kuona waneshindwa hizo kampuni binafsi, ndio JW wakaona huruma na kuamua kumsaidi, muda wa kazi wa JW ni masaa 6 tu.

Haibadilishi kitu, JWTZ wamekuta gari lipo linaonekena kwenye mto, wanaume walikua wametumia nguvu nyingi kulivuta na kusogesha hadi wakaiba engine, hivyo ilikua kazi ndogo sana sema mlivyo wazembe mkakawia. Kule baharini sisi gari lilizama na kuvutwa na kitu tunaita under current, kiasi kwamba halikua linaonekana hata pale lilizamia, yaani lilihamishwa kilomita kadhaa, ila kwa utaalam wa hali ya juu na wa kipekee ukanda huu, tukafaulu kulipata.
Hivi nyie mna jesh la wanamaji kweli au ni mna boti za samaki pale baharini, ni aibu sana kwa nchi yenye bahari kutokua na jeshi la wanamaji lenye sifa, kuna kipindi mlionyesha mitumbwi ya kuvulia samaki eti ndio meli zenu za kivita, nakumbuka ile show yenu ya kupiga minazi mabomu hehehe.
 
Hayo masaa 6 basi mnaona ni speed ya hatari wakati mzungu Angelitoa kwa dakika 10
 
Haibadilishi kitu, JWTZ wamekuta gari lipo linaonekena kwenye mto, wanaume walikua wametumia nguvu nyingi kulivuta na kusogesha hadi wakaiba engine, hivyo ilikua kazi ndogo sana sema mlivyo wazembe mkakawia. Kule baharini sisi gari lilizama na kuvutwa na kitu tunaita under current, kiasi kwamba halikua linaonekana hata pale lilizamia, yaani lilihamishwa kilomita kadhaa, ila kwa utaalam wa hali ya juu na wa kipekee ukanda huu, tukafaulu kulipata.
Hivi nyie mna jesh la wanamaji kweli au ni mna boti za samaki pale baharini, ni aibu sana kwa nchi yenye bahari kutokua na jeshi la wanamaji lenye sifa, kuna kipindi mlionyesha mitumbwi ya kuvulia samaki eti ndio meli zenu za kivita, nakumbuka ile show yenu ya kupiga minazi mabomu hehehe.
Ama kweli wewe ni mpumbavu una jua kilometa wee tena unasema kadhaa maana yake kilometa zaidi ya 1
 
Haibadilishi kitu, JWTZ wamekuta gari lipo linaonekena kwenye mto, wanaume walikua wametumia nguvu nyingi kulivuta na kusogesha hadi wakaiba engine, hivyo ilikua kazi ndogo sana sema mlivyo wazembe mkakawia. Kule baharini sisi gari lilizama na kuvutwa na kitu tunaita under current, kiasi kwamba halikua linaonekana hata pale lilizamia, yaani lilihamishwa kilomita kadhaa, ila kwa utaalam wa hali ya juu na wa kipekee ukanda huu, tukafaulu kulipata.
Hivi nyie mna jesh la wanamaji kweli au ni mna boti za samaki pale baharini, ni aibu sana kwa nchi yenye bahari kutokua na jeshi la wanamaji lenye sifa, kuna kipindi mlionyesha mitumbwi ya kuvulia samaki eti ndio meli zenu za kivita, nakumbuka ile show yenu ya kupiga minazi mabomu hehehe.
Msikilize huyo mwenye Private Company abazungumzia kina cha MAJI na kasi ya MAJI pamoja na matatizo yaliyowafanya kushindwa kulitoa. Kasi ya maji ni kubwa kiasi cha kusomba Engine ya Scania tani 30.

Kale kagari kalikozama pale likoni uzito wake haifiki hata 200kg, lakini hakakusombwa na maji, hiyo in dalili kwamba maji ya likoni hayatembei yametulia
 
Haibadilishi kitu, JWTZ wamekuta gari lipo linaonekena kwenye mto, wanaume walikua wametumia nguvu nyingi kulivuta na kusogesha hadi wakaiba engine, hivyo ilikua kazi ndogo sana sema mlivyo wazembe mkakawia. Kule baharini sisi gari lilizama na kuvutwa na kitu tunaita under current, kiasi kwamba halikua linaonekana hata pale lilizamia, yaani lilihamishwa kilomita kadhaa, ila kwa utaalam wa hali ya juu na wa kipekee ukanda huu, tukafaulu kulipata.
Hivi nyie mna jesh la wanamaji kweli au ni mna boti za samaki pale baharini, ni aibu sana kwa nchi yenye bahari kutokua na jeshi la wanamaji lenye sifa, kuna kipindi mlionyesha mitumbwi ya kuvulia samaki eti ndio meli zenu za kivita, nakumbuka ile show yenu ya kupiga minazi mabomu hehehe.
Nimesikia kama umeuliza kama Tanzania haina Jeshi la wanamaji. Linganisha hili na Jeshi la Kenya lenye kutumia meli chakavu(Mitumba)
 
Haibadilishi kitu, JWTZ wamekuta gari lipo linaonekena kwenye mto, wanaume walikua wametumia nguvu nyingi kulivuta na kusogesha hadi wakaiba engine, hivyo ilikua kazi ndogo sana sema mlivyo wazembe mkakawia. Kule baharini sisi gari lilizama na kuvutwa na kitu tunaita under current, kiasi kwamba halikua linaonekana hata pale lilizamia, yaani lilihamishwa kilomita kadhaa, ila kwa utaalam wa hali ya juu na wa kipekee ukanda huu, tukafaulu kulipata.
Hivi nyie mna jesh la wanamaji kweli au ni mna boti za samaki pale baharini, ni aibu sana kwa nchi yenye bahari kutokua na jeshi la wanamaji lenye sifa, kuna kipindi mlionyesha mitumbwi ya kuvulia samaki eti ndio meli zenu za kivita, nakumbuka ile show yenu ya kupiga minazi mabomu hehehe.
 
joto la jiwe,

Wanajeshi wa Kenya walichukuwa wiki mbili kutoa maiti na gari ndogo kwenye kivuko cha baharini kule Mombasa!! JWTZ wametumia masaa 6 kutoa gari kubwa tena mtoni!! Kweli Kunyaland ni shida. MK254 unaitwa huku!!
Kdf ni kigenge cha wahuni jeshi hamna pale,toka walipowashindwa wale wavaa kobazi 2 pale westgate halafu kdf wakaishia kuiba biscuit kwenye lile tukio,toka pale nikawaona hawana lolote
 
Msikilize huyo mwenye Private Company abazungumzia kina cha MAJI na kasi ya MAJI pamoja na matatizo yaliyowafanya kushindwa kulitoa. Kasi ya maji ni kubwa kiasi cha kusomba Engine ya Scania tani 30.

Kale kagari kalikozama pale likoni uzito wake haifiki hata 200kg, lakini hakakusombwa na maji, hiyo in dalili kwamba maji ya likoni hayatembei yametulia


Nimsklize mtu anayetoa vijisababu uchwara, mumeshindwa kutoa lori kwenye mto mpaka karibu mwezi unaisha, sehemu ambapo waogeleaji wa vijijini waliingia na kuopoa mwili wa dereva, mpo hovyoo sana nyie, halafu mumeiba engine.
 
Team kutoka JWTZ imefika Wami ikiwa na Gari mbili za uokoaji na imefanikiwa kulichomoa Lori hilo leo, awali kabla ya Jeshi kuingilia kati waokoaji wa kwanza walishindwa kutokana na madai ya uwepo wa kina kirefu, kasi ya maji, maji machafu nk, hadi kufanya Mwajuma akate tamaa na kurudi DSM.




MY TAKE; Tanzania hoyeeeeeee

Hivi hizi akili zenu za mandazi ndio zinawadanganya eti mnaweza linganisha kimo cha mto na kimo cha bahari hindi? Aisee endeleeni kunywa uji na kujamba jamba tu.
 


Unaita hiyo Navy??? boti za kuvua samaki.... kwenu huko mna kitu kinaitwa Constabulary navy, sio aina ya navy inayoweza kupigana vita kama ya kwetu aina ya Littoral navy
Tazama video ya nini maana ya navy
Pia pitia hapa ujifunze nini tofauti kabla haujaibika zaidi defenceweb.co.za/resources/fact-files/fact-file-ranking-african-navies/

 
Haibadilishi kitu, JWTZ wamekuta gari lipo linaonekena kwenye mto, wanaume walikua wametumia nguvu nyingi kulivuta na kusogesha hadi wakaiba engine, hivyo ilikua kazi ndogo sana sema mlivyo wazembe mkakawia. Kule baharini sisi gari lilizama na kuvutwa na kitu tunaita under current, kiasi kwamba halikua linaonekana hata pale lilizamia, yaani lilihamishwa kilomita kadhaa, ila kwa utaalam wa hali ya juu na wa kipekee ukanda huu, tukafaulu kulipata.
Hivi nyie mna jesh la wanamaji kweli au ni mna boti za samaki pale baharini, ni aibu sana kwa nchi yenye bahari kutokua na jeshi la wanamaji lenye sifa, kuna kipindi mlionyesha mitumbwi ya kuvulia samaki eti ndio meli zenu za kivita, nakumbuka ile show yenu ya kupiga minazi mabomu hehehe.
Meli zenu za kijeshi hazina rada za kuona kitu majini kwa kina kifupi kama hicho cha likoni? Kweli warship zenu ni makopo yenye kuelea majini ,kunya bure kabisa
 
Hajui lolote kazi yake kupiga domo tu, hiyo Engine ya hiyo Scania iluyosombwa na maji, uzito wake ni Mara Tatu ya kale kagari kalikozama kule likoni Mombasa, lakini hakakusombwa na MAJI, hiyo inaonyesha ni kiasi gani maji ya mto Wami yanavyokwenda kwa kasi hasa kipindi hiki cha mvua nyingi.
Mtu anayelinganisha ugumu wa kuopoa gari kutoka mtoni na baharini ana matatizo ya akili. Bahari ni ligi nyingine tofauti.
 
Unaita hiyo Navy??? boti za kuvua samaki.... kwenu huko mna kitu kinaitwa Constabulary navy, sio aina ya navy inayoweza kupigana vita kama ya kwetu aina ya Littoral navy
Tazama video ya nini maana ya navy
Pia pitia hapa ujifunze nini tofauti kabla haujaibika zaidi defenceweb.co.za/resources/fact-files/fact-file-ranking-african-navies/

Kenya Jeshi lenu la majini halijawahi kununua vifaa vipya, yote hayo yameshatumika yamepakwa Rangi upya, Kenya mpo na meli moja kubwa, MV jasiri ambayo ni used mlinunua toka Spain, imezeeka sana INA ina zaidi ya miaka 25.

Tanzania tulinunua meli kubwa 2 za kisasa na mpya toka China 2012 ndio hizo hapo katika picha, vifaa vyote hapo in vipya tulivimlnunua 2013, Kenya hamna Amphibious tanks hata moja,
 
Hivi "jeshi" la zimamoto na uokozi wajibu wao ni nini hasa kwenye majanga kama haya?
 
Back
Top Bottom