Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Mkuu habari za Djuma ziache kama zilivyo, viongozi ndo wanajua zaidi ndo maana tumewapa dhamana.
Tushangilie tu Simba, hakuna kitakachoharibika, SimbaNguvuMoja
Tushangilie tu Simba, hakuna kitakachoharibika, SimbaNguvuMoja
Kuna maandishi yanapita pale chini Azam sport 2 "Kocha msaidizi Simba Masoud Juma akalia kuti kavu Simba".
Wasije wakatuharibia tu timu yetu,inaonekana washapanga kumfukuza Masoud