TPL: Simba SC vs African Lyon - October 6, 2018

TPL: Simba SC vs African Lyon - October 6, 2018

Mkuu habari za Djuma ziache kama zilivyo, viongozi ndo wanajua zaidi ndo maana tumewapa dhamana.

Tushangilie tu Simba, hakuna kitakachoharibika, SimbaNguvuMoja
Kuna maandishi yanapita pale chini Azam sport 2 "Kocha msaidizi Simba Masoud Juma akalia kuti kavu Simba".
Wasije wakatuharibia tu timu yetu,inaonekana washapanga kumfukuza Masoud
 
Mkuu habari za Djuma ziache kama zilivyo, viongozi ndo wanajua zaidi ndo maana tumewapa dhamana.

Tushangilie tu Simba, hakuna kitakachoharibika, SimbaNguvuMoja
Mkuu Natumai timu itaendelea na munkari
 
Simba ni Taifa Kubwa. Mchezaji wa kiwango kwenu Mbute FC, kwa Simba ni kawaida sana kama wengine tu

Ndo maana mchezaji anayekaa benchi Simba, akienda Mbute anakuwa star kikosi cha kwanza..Kama Ajibu, This Is Simba
Haya bhana! labda ulikuwa mdogo miaka ile wakati kina Thomas Kipese, saidi mwamba, steven names, yusuph macho wakitoka yanga na kuja kuwasaidia simba ktk vipindi tofauti!
 
Simba ni Taifa Kubwa. Mchezaji wa kiwango kwenu Mbute FC, kwa Simba ni kawaida sana kama wengine tu

Ndo maana mchezaji anayekaa benchi Simba, akienda Mbute anakuwa star kikosi cha kwanza..Kama Ajibu, This Is Simba
Mbona Ajibu ni fundi kuliko hata kichuya wenu anayeanza kikosi cha kwanza thimba, mpaka msemaji wenu manara anashangaa kwanini Ajibu haitwi timu ya taifa ?
 
Kila la heri MNYAMA [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Back
Top Bottom