TPL: Simba SC vs Alliance FC - October, 24.

TPL: Simba SC vs Alliance FC - October, 24.

Jeshi la Aussems linampa kila Kiume kushika silaha. Kazi kwako Adam Salamba..Lunyasi wapo nawe onyesha kuwa mpira ni fani yako SimbaNguvuMoja
 

Attachments

  • IMG_20181024_160642_468.jpeg
    IMG_20181024_160642_468.jpeg
    60.1 KB · Views: 22
Kila La Kheri Mnyama Mkalii [emoji91][emoji91][emoji91]

Simba Sports Club...
Chama La Dunia Nzmaa..
 
Jeshi la Aussems linampa kila Kiume kushika silaha. Kazi kwako Adam Salamba..Lunyasi wapo nawe onyesha kuwa mpira ni fani yako SimbaNguvuMoja
Kikosi kipana!yanayotaka kufanyika ni mauaji ya kimbali,katimu kamewekewa forward 3 zenye njaa kali
 
Baada ya mapumziko ya siku 2, hatimae TPL inaendelea leo (24/10/2018) tena. Bingwa Mtetezi, Simba SC anawakaribisha 'Watoto wa Sekondari' Alliance FC katika dimba la Taifa Stadium. Mechi hii inatarajiwa kuanza mnamo saa 1 (moja) kamili usiku.
Katika mechi zao za mwisho Simba SC alitakata vilivyo kwa kuwagagadua ipasavyo Stand United 3-0, huku Alliance FC ikifungwa na Yanga SC. Katika mechi ya leo, Alliance FC watajaribu kutafuta pointi, huku Simba SC akitarajiwa kuendeleza wimbi lake la ushindi.

Updates zaidi zinafuata.. Ungana nami.

Hii ligi hata haieleweki yanga alianza na Alliance Simba akafuatia na Stand United. Simba katoka kucheza juzi leo anacheza tena kwenda game ya 9 wakati Yanga tupo pale pale na Game zetu 7. Kwanini tusianze sisi then ndio simba acheze.

Hii TFF wawe makini tatizo la match fixing halitaisha au wana mkataba na makubaliano na watu wa betting?
 
Simba Leo wamebadirisha kikosi kapombe.shabala.kagere.kichuya.mkude.nyoni wote wako nje mkude hajawa fit na nyoni sababu ya kadi
 
Unajitoa fahamu unaamua kuishabikia Alliance FC huku ukijua hawezi kufanya chochote kwa Simba SC kwa vile tu Mnyama anakupa wakati mgumu

Matokeo yake unapata pressure halafu Unakufa[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom