Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pathetic...!Siku mkicheza na mbao nishtue
Dawa ya moto ni moto...!Nanyi Mkuu mkikutana na Alex Kitenge nami nishtue.
Jinga sana weye kijana [emoji23][emoji23][emoji23]Siku mkicheza na mbao nishtue
Haya bana...lakini mi nimewaomba tu 😀😀😀Jinga sana weye kijana [emoji23][emoji23][emoji23]
Nanyi Mkuu mkikutana na Alex Kitenge nami nishtue.
Jinga sana weye kijana [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtaua jamani mbona mna jazba hivyo? Hivi ikitokea Alliance wakabiduka kama alivyofanya Ajibu si mtaning'oa majicho 🙄🙄🙄Pathetic...!
Mtindo wa makundi ligi daraja la kwanza unasababisha vitimu vya hovyo kupanda daraja....ndio hoja yanguMkuu.. Hii kauli ungeizungumza Jumamosi.
Kikosi kipana!yanayotaka kufanyika ni mauaji ya kimbali,katimu kamewekewa forward 3 zenye njaa kaliJeshi la Aussems linampa kila Kiume kushika silaha. Kazi kwako Adam Salamba..Lunyasi wapo nawe onyesha kuwa mpira ni fani yako SimbaNguvuMoja
Baada ya mapumziko ya siku 2, hatimae TPL inaendelea leo (24/10/2018) tena. Bingwa Mtetezi, Simba SC anawakaribisha 'Watoto wa Sekondari' Alliance FC katika dimba la Taifa Stadium. Mechi hii inatarajiwa kuanza mnamo saa 1 (moja) kamili usiku.
Katika mechi zao za mwisho Simba SC alitakata vilivyo kwa kuwagagadua ipasavyo Stand United 3-0, huku Alliance FC ikifungwa na Yanga SC. Katika mechi ya leo, Alliance FC watajaribu kutafuta pointi, huku Simba SC akitarajiwa kuendeleza wimbi lake la ushindi.
Updates zaidi zinafuata.. Ungana nami.