TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Wanabebwa. Goli la wazi kabisa. Haya tunaendelea
 
Linesman aliyeko upande wa goli la yanga hajui kazi yake vizuri. Angalia maamuzi yake!
 
Yanga yapata pigo baada ya walinzi wa Uwanja kuwakamata waganga waliokuwa wanaruka ukuta ili kuloga dimba usiku wa manane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…