Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Tunazungumzia Kagame ya mwaka 2008 Jul. Ambapo Yanga waligomea mchezo na wakafungiwa miaka 3 na faini ya dola 35,000.
Sasa wapi nimetaja Kagame ya 2018?
Sasa wapi nimetaja Kagame ya 2018?
Kombe la Dunia 2018 lilichezwa lini hadi lini? Yanayoitwa mashindano ya Klabu Bingwa Africa ya Mashariki na Kati ya huyo Musonye wako ambayo Azam alitwaa ubingwa yalichezwa lini hadi lini? Wewe ndiye unajua sana kuhusu hilo, kwaheri Mjuaji!