TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Hahahaaa. Kama Okwi.

Hii ndio shida ya Simba. Inatakiwa watambie vile vitimu vilivyopanda daraja msimu huu na si kwa Yanga ambayo kila wakikutana nayo lazma iwapovushe. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa tambo hizi inaonekana baada ya mechi 2 mtatangazwa mabingwa
 
Pole Mtani wangu.

Ila ndio mjue game na Yanga si ya kuitabiria yaani yapasa game ikishapita ndio mnaaza kutamba nje ya hapo mtabaki kutokuamini kila siku.
Mna bahati sana Mtani.. January, 2019 kutakua na kombe la Muungano. Naamini hamtatukimbia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ligi bado mbichi hii, mkianza kutoka Dar ndio mtajua nnachosema hapa. Timu yenu ni very technically inept. Hata timu zilizokuwa zinawaogopa zikiangalia mchezo wenu na Simba sitapata confidence sana ya kuwafunga.
Na bundi ndo kashatua Simba tusubiri timbwili la uchaguzi,mwaka huu wasipomaliza wa Saba kwenye ligi sijui itakuaje,naiona nafasi ya Saba ileeeee inawanyemelea Simba
 
Sio kutoa mpira, Ile ilikuwa woga tu. Niliona Ajib anasifiwa sana humu eti atakamata kiungo, leo ndio tumejua kwanini alikimbia Simba, angecheza namba ya nani pale.
Hahahaaaa. Na baada ya kutoa ule mpira nje ndio akawapagawisha hatari.

Mbinu tu ile na pia alijua Mikia wengi wenu mnaamini shirk hivyo akajua mngeamini tu hiyo kitu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jana Yanga waliona mchezo umechezwa masaa matano. Hakuna mchezaji wa Yanga aliyevua viatu wakati wa kulala.
Aisee naona mtani unafuraha sana huamini kama timu yako imenusurika na kichapo sipati picha jana ulivyokuwa ukiomba mpira uishe
 
Sio kutoa mpira, Ile ilikuwa woga tu. Niliona Ajib anasifiwa sana humu eti atakamata kiungo, leo ndio tumejua kwanini alikimbia Simba, angecheza namba ya nani pale.
Hahaaa. Ndio uwaeleweshe na wenzio Mkuu sababu lile tukio wengi wamelihitimisha kuwa ni ushirikina.

Hahaaa. Hivyo Mkuu wewe hasira zako unazimalizia kwa Ajib tu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Stamili au Salim Mbonde? Huyu chalii nilisoma nae primary!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…