Kwa tambo hizi inaonekana baada ya mechi 2 mtatangazwa mabingwaHahahaaa. Kama Okwi.
Hii ndio shida ya Simba. Inatakiwa watambie vile vitimu vilivyopanda daraja msimu huu na si kwa Yanga ambayo kila wakikutana nayo lazma iwapovushe. [emoji23][emoji23][emoji23]