Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Hahahaha walipata tabu itakuwa walikuwa wanajiuliza tunacheza na SIMBA au BARCA maana ni kila sekunde kila dakika watu waja tu mkuu yani wamenusurika vibaya mnooJana Yanga waliona mchezo umechezwa masaa matano. Hakuna mchezaji wa Yanga aliyevua viatu wakati wa kulala.
Jana simba wote walikua wanaamini uchawiIla post za Watani zangu zinanichekesha duuuh.
Mchawi zahera tu pale. ππππππ
Mkuu.. huyo ni Stamili.Stamili au Salim Mbonde? Huyu chalii nilisoma nae primary!
Ndio hapo sasa rafiki.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]walitaka kuigeuza yanga shamba la kuchumia point la sasa wamegeuzwa wao shamba la kugawania point
Jana simba wote walikua wanaamini uchawi
Umeiona clip ya mtu wa Simba akimwaga vitu uwanjani?Mganga wa Yanga yuko vizuri. Wachezaji wa Yanga walifuata maelekezo. Mpira unaanza tu mchezaji wa Yanga akapiga mpira nje, usiguswe na mtu.
Yaani sharti lilikuwa, mara baada ya mechi kuanza kama wataanza wao Yanga eidha kipindi cha kwanza au cha pili basi mchezaji wa pili kuugusa mpira awe wa Simba. Hapo ndio Simba walipoingizwa maboya. Sina imani na hivi vitu ila mpinzani wangu akiwa na imani na hivi vitu nitavitumia kumvuruga saikolojia yake.
Ndio hapo sasa rafiki.
Hahahaaaa. Inashangaza sana japo najiuliza kama ni kweli kwa nini na wao hawakuufanya ili twende sawa. ππππ
Sanchez kaondoka aseno akiwa top scorer je pale united anacheza namba ya nanSio kutoa mpira, Ile ilikuwa woga tu. Niliona Ajib anasifiwa sana humu eti atakamata kiungo, leo ndio tumejua kwanini alikimbia Simba, angecheza namba ya nani pale.
Ndio hapo sasa rafiki.Wamebaki kuhangaika tu sasa.πππTimu ya billioni ikashindwa ifunga timu ya million aiseee
Na bado Utawaza sana msimu huuNipo nawaza hapa..
Hivi kama Simba SC tungepata nafasi ya kuanza mpira.. Si kazi ndo ingekua ishaisha??
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha muda umeenda haraka wapi wakati roho ilikuwa mkononi yani jana hata wale mashabiki wa yanga wasiomjua Mungu walimwomba awanusuru na lile gharikaHahahaaaa. Kwa zile tambo zenu lazima tufurahi tu kwa kweli.
Huwezi amini tena niliona muda umekwenda haraka. ππ
Ila kiukweli imefikia hatua Yanga imekuwa ndogo. Droo ya jana imekiwa kama ushindi wakati kwa Simba imekuwa kama kufungwa.Hahahaaaa. Kwa zile tambo zenu lazima tufurahi tu kwa kweli.
Huwezi amini tena niliona muda umekwenda haraka. ππ
Aah. Wappii.hahahaha muda umeenda haraka wapi wakati roho ilikuwa mkononi yani jana hata wale mashabiki wa yanga wasiomjua Mungu walimwomba awanusuru na lile gharika
Kama Yanga nao wana imani za kishirikina basi dawa ninkucheza na saikolojia yao pia.U
Umeiona clip ya mtu wa Simba akimwaga vitu uwanjani?
Ya nini kutumia ma billion kusajili kama uchawi unalipa?
Baada ya Boko sasa ilikuwa zamu ya Kotei kutembeza ngumi.
From Mbumbumbu FC to Mwakinyo FC
Ndio na hii imesababishwa na sifa za mikia hasa pale wanatamba kwamba kikosi cha ni cha mabilioni na kilicho kipana ila yanga ina kikosi cha kuunga unga.Ila kiukweli imefikia hatua Yanga imekuwa ndogo. Droo ya jana imekiwa kama ushindi wakati kwa Simba imekuwa kama kufungwa.
Yaan kweli kabisa, kwa ambaye anayejua mpira atakubali, ila kwa hawa washangiliaji usitarajie kukubali kilichotokea jana,, watu tumepeleka mapenzi mbeli ilhali mpira siku hizi azam live hakuna ile ya kusikiliza radio,,,Ila kiukweli imefikia hatua Yanga imekuwa ndogo. Droo ya jana imekiwa kama ushindi wakati kwa Simba imekuwa kama kufungwa.
Huu ni mpambano wa jadi kwa hiyo ndo burudani yenyewe hiyo,,Ndio na hii imesababishwa na sifa za mikia hasa pale wanatamba kwamba kikosi cha ni cha mabilioni na kilicho kipana ila yanga ina kikosi cha kuunga unga.
Lazima iwe kama ushindi maana tambo zilikuwa nyingi mnooo mwisho wa siku inabaki kusingizia uchawi. Teh teh teh
Mwisho wa siku ni AIBU kwa Yanga leo wanapita mitaani vifua mbele kwa matokeo ya jana.Ndio na hii imesababishwa na sifa za mikia hasa pale wanatamba kwamba kikosi cha ni cha mabilioni na kilicho kipana ila yanga ina kikosi cha kuunga unga.
Lazima iwe kama ushindi maana tambo zilikuwa nyingi mnooo mwisho wa siku inabaki kusingizia uchawi. Teh teh teh
Wanaongoza kwa kufunga magoli mpaka sasa.
1. MK14 (Simba SC) - 4
2. Eliud Ambokile (Mbeya City) - 4
3. Alex Kitenge (Stand United) - 3
4. Stamili Mbonde (Mtibwa Sugar) - 3
5. Bigirimana Blaise (Stand United) - 3
Nilichogundua kwenye hii orodha ni;
Kama yule jamaa aliyewafunga Ndala goli 3 hajawahi kufunga tena.. Sasa yule MK14 ambae hashikiki katika upachikaji magoli atawafanya nini hawa Ndala?
Sent using Jamii Forums mobile app