TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Dada angu tuko pamoja nashukuru kwa kunikumbuka. Ila jana wameshindwa kupata matokeo waliyokuja nayo uwanjani wanaanza kusingizia ushirikina. Ili mradi tu wapate cha kuongea.
 
Dada angu tuko pamoja nashukuru kwa kunikumbuka. Ila jana wameshindwa kupata matokeo waliyokuja nayo uwanjani wanaanza kusingizia ushirikina. Ili mradi tu wapate cha kuongea.
Ahsante kushukuru Kaka. Halafu cha ajabu hadi yule mbwambwajaji wao naye anawaaminisha hivyo. Teh teh

Nawaza kama ni ishirikina kama wanavyisema wao walishindwa vipi kuufanya ili waweze kwenda na sisi sawa?
 
Ni akili za kiafrica pekee ndio wanaoamini haya mambo. Msemaji amekosa cha kujieleza anatafuta pa kupumulia akaona hiyo ndio sababu.
Ahsante kushukuru Kaka. Halafu cha ajabu hadi yule mbwambwajaji wao naye anawaaminisha hivyo. Teh teh

Nawaza kama ni ishirikina kama wanavyisema wao walishindwa vipi kuufanya ili waweze kwenda na sisi sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…