Uchaguzi 2020 TRA Acheni Uhuni huu kipindi hiki cha kampeni

Uchaguzi 2020 TRA Acheni Uhuni huu kipindi hiki cha kampeni

Kweli elimu inahitajika sana kwa kizazi hiki
Maana naona mda si mrefu utakuja kulalamikia usafiri wa daladala kubandikwa stika za wagombea na ilihari watumishi wa serikali wanatumia kwenda makazini
 
Kweli elimu inahitajika sana kwa kizazi hiki
Maana naona mda si mrefu utakuja kulalamikia usafiri wa daladala kubandikwa stika za wagombea na ilihari watumishi wa serikali wanatumia kwenda makazini
Case hii ni tofauti.
Hapa kodi za wananchi zimetumika kulipa gari ya PA ambayo imebandikwa stika za wagombea wa CCM.
Gari hiyo ilipaswa isiwe na stika zozote za mgombea yeyote yule wa chama chochote.
 
Haya majitu sijui akili yatapata lini? Huko TRA ofisini Kuna picha za Magufuli na hawalalamiki Sasa gari ya serikali ikibandikwa picha ya Magufuli Kuna tofauti gani?
Kama chadema hamuitambui serikali Basi nanyi kabandlikeni picha ya Lissu muwe mtangaza wafanya biashara wakalipe Kodi.
Picha za ofisini zimeandikwa chagua Magufuri..pathetic
 
Nina uhakika huzitambui gari za serikali.

Hao watu wa PA wanakupotezea muda mpaka kuja kutupigia kelele hapa?

Ukiingia ofisi yoyote ambayo si ofisi magumashi ni lazima ukute picha ya Magufuli ukutani kwenye fremu, nakukumbusha tu hili uwe na akili na uwache ujingaujinga.
Picha kama Mwenyekiti wa ccm au Rais wa nchi? Nchi gani duniani hujawahi ona hilo? Kuwa mataga siyo tiketi ya kuwa mjinga
 
Haya majitu sijui akili yatapata lini? Huko TRA ofisini Kuna picha za Magufuli na hawalalamiki Sasa gari ya serikali ikibandikwa picha ya Magufuli Kuna tofauti gani?
Kama chadema hamuitambui serikali Basi nanyi kabandlikeni picha ya Lissu muwe mtangaza wafanya biashara wakalipe Kodi.
Kuna watu wajinga lakini wewe dah sijui nikuiteje ndugu mataga
 
TRA imelipia matangazo ya wananchi kulipa kodi.
Haimpangii mwenye gari rangi ya gari atakalotumia kutangaza kwasababu TRA hawajaomba matangazo ya picha wameomba ya sauti iwafikie walengwa.
Sasa mwenye gari na mambo yake binafsi hayawezi kuwa ya taasisi iliyompa kazi.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania imeamua kumfanyia kampeni Magufuli kwa style ya aina yake.

Kuna gari ya matangazo ambayo sasa hivi iko kariakoo ikiwatangazia wafanyabiashara kulipa kodi. Gari hiyo imepigwa stika za matangazo ya mgombea wa urais Magufuli.

TRA acheni uhuni huu mara moja kwani nyie ni taasisi iliyohuru. Na kitendo cha kubandika stika kwenye gari hiyo ni kumpendelea mgombea huyo na matumizi mabaya ya kodi zetu wananchi

View attachment 1559182
Gari siyo la TRA; huyo ni mjasiria mali kwa upande wa matangazo.
 
Safari hii tutaona wapiga kampeni wanafiki wa kila aina , nimeliona na hili lichungaji la kisabato Simiyu eti linampigia kampeni bila aibu kabisa mchana kweupe
IMG_20200905_103847.jpg
Screenshot_20200905-103744.png
IMG_20200905_103836.jpg
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania imeamua kumfanyia kampeni Magufuli kwa style ya aina yake.

Kuna gari ya matangazo ambayo sasa hivi iko kariakoo ikiwatangazia wafanyabiashara kulipa kodi. Gari hiyo imepigwa stika za matangazo ya mgombea wa urais Magufuli.

TRA acheni uhuni huu mara moja kwani nyie ni taasisi iliyohuru. Na kitendo cha kubandika stika kwenye gari hiyo ni kumpendelea mgombea huyo na matumizi mabaya ya kodi zetu wananchi

View attachment 1559182
Kama hiyo gari unayosemea hapa ndo hiyo kwenye picha unapotosha. Ili tukuamini tuwekee video hapa ya hilo gari likitangaza.
 
Na hapa bukoba tumeliona gari kama hilo.. dawa yao tumeamua kuto kulipa hadi watoe hizo picha za mwenyekiti wa ccm.
 
Tofautisha Picha ta Rais na Picha ya mwenyekiti wa ccm..

Maofisini Tunaweka picha ya Rais
Nina uhakika huzitambui gari za serikali.

Hao watu wa PA wanakupotezea muda mpaka kuja kutupigia kelele hapa?

Ukiingia ofisi yoyote ambayo si ofisi magumashi ni lazima ukute picha ya Magufuli ukutani kwenye fremu, nakukumbusha tu hili uwe na akili na uwache ujingaujinga.
 
Nina uhakika huzitambui gari za serikali.

Hao watu wa PA wanakupotezea muda mpaka kuja kutupigia kelele hapa?

Ukiingia ofisi yoyote ambayo si ofisi magumashi ni lazima ukute picha ya Magufuli ukutani kwenye fremu, nakukumbusha tu hili uwe na akili na uwache ujingaujinga.
You are a cursed individual!
 
Mkuu hapa umeteleza tu.

Hiyo Ni gari binafsi.. wamelipwa kufikisha ujumbe unaotaka waufikishe kwa sauti.. na clearly Kama ulivyosema unewasikia wakiufikisha..watu wakalipe Kodi... Tunaweza sema TRA amepata alicholipia..

Lakini as a great business manager hainizui kufanya na mengine.. Sasa sauti haimzuii mtu kuona.. amekuja mtu anayetaka niweke picha zake za matangazo kwenye gari.. naachaje Sasa!?

Ungesikia amesema kitu juu ya hizo picha au gari lingekuwa la Halmashauri ya Manispaa au jiji.. hoja hii ingekuwa na mashiko.

Kwa Sasa mmiliki wa gari tumuache aongeze vyanzo vya mapato yake.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Lame justification!
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania imeamua kumfanyia kampeni Magufuli kwa style ya aina yake.

Kuna gari ya matangazo ambayo sasa hivi iko kariakoo ikiwatangazia wafanyabiashara kulipa kodi. Gari hiyo imepigwa stika za matangazo ya mgombea wa urais Magufuli.

TRA acheni uhuni huu mara moja kwani nyie ni taasisi iliyohuru. Na kitendo cha kubandika stika kwenye gari hiyo ni kumpendelea mgombea huyo na matumizi mabaya ya kodi zetu wananchi

View attachment 1559182
Hilo gari ni gari binafsi, TRA hukodisha tu kwa ajili ya matangazo na hawana uwezo wa kumpa mashariti mmiliki wa gari aweke picha ipi au asiweke. Mbona ofisi zote za Serikali zina picha ya Magufuli hazijatolewa kwa nini usihoji hilo kwamba ni sehemu ya kampeni?
 
Kuna mambo yatakupasua kichwa bure it's better to stay quiet badala ya kujaji mambo madogo kama hayo at least tume ndio wangefanya hivyo labda.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Tume haijawahi kukemea dhidi ya CCM, na hautathubutu kufanya hivyo. Kuna magazeti na tv zilifungiwa kwa kutaja walimopita bila kupingwa. Jana Chenge kawataja walimopita jimboni kwao, isubiri tume.
 
Back
Top Bottom