Hii nchi mali ya wananchi, nenda kituo cha police kabandike posters za ccm au CHADEMA.Hii nchi sio mali ya tume
Case hii ni tofauti.Kweli elimu inahitajika sana kwa kizazi hiki
Maana naona mda si mrefu utakuja kulalamikia usafiri wa daladala kubandikwa stika za wagombea na ilihari watumishi wa serikali wanatumia kwenda makazini
Picha za ofisini zimeandikwa chagua Magufuri..patheticHaya majitu sijui akili yatapata lini? Huko TRA ofisini Kuna picha za Magufuli na hawalalamiki Sasa gari ya serikali ikibandikwa picha ya Magufuli Kuna tofauti gani?
Kama chadema hamuitambui serikali Basi nanyi kabandlikeni picha ya Lissu muwe mtangaza wafanya biashara wakalipe Kodi.
Picha kama Mwenyekiti wa ccm au Rais wa nchi? Nchi gani duniani hujawahi ona hilo? Kuwa mataga siyo tiketi ya kuwa mjingaNina uhakika huzitambui gari za serikali.
Hao watu wa PA wanakupotezea muda mpaka kuja kutupigia kelele hapa?
Ukiingia ofisi yoyote ambayo si ofisi magumashi ni lazima ukute picha ya Magufuli ukutani kwenye fremu, nakukumbusha tu hili uwe na akili na uwache ujingaujinga.
Kuna watu wajinga lakini wewe dah sijui nikuiteje ndugu matagaHaya majitu sijui akili yatapata lini? Huko TRA ofisini Kuna picha za Magufuli na hawalalamiki Sasa gari ya serikali ikibandikwa picha ya Magufuli Kuna tofauti gani?
Kama chadema hamuitambui serikali Basi nanyi kabandlikeni picha ya Lissu muwe mtangaza wafanya biashara wakalipe Kodi.
Mkuu kabla ya ro kwenye jina lako unajua kuwa kuna to?Mimi nilijiua labda ni STL,STK AU SM KUMBE gari private bana.
Gari siyo la TRA; huyo ni mjasiria mali kwa upande wa matangazo.Mamlaka ya Mapato Tanzania imeamua kumfanyia kampeni Magufuli kwa style ya aina yake.
Kuna gari ya matangazo ambayo sasa hivi iko kariakoo ikiwatangazia wafanyabiashara kulipa kodi. Gari hiyo imepigwa stika za matangazo ya mgombea wa urais Magufuli.
TRA acheni uhuni huu mara moja kwani nyie ni taasisi iliyohuru. Na kitendo cha kubandika stika kwenye gari hiyo ni kumpendelea mgombea huyo na matumizi mabaya ya kodi zetu wananchi
View attachment 1559182
Kama hiyo gari unayosemea hapa ndo hiyo kwenye picha unapotosha. Ili tukuamini tuwekee video hapa ya hilo gari likitangaza.Mamlaka ya Mapato Tanzania imeamua kumfanyia kampeni Magufuli kwa style ya aina yake.
Kuna gari ya matangazo ambayo sasa hivi iko kariakoo ikiwatangazia wafanyabiashara kulipa kodi. Gari hiyo imepigwa stika za matangazo ya mgombea wa urais Magufuli.
TRA acheni uhuni huu mara moja kwani nyie ni taasisi iliyohuru. Na kitendo cha kubandika stika kwenye gari hiyo ni kumpendelea mgombea huyo na matumizi mabaya ya kodi zetu wananchi
View attachment 1559182
Nina uhakika huzitambui gari za serikali.
Hao watu wa PA wanakupotezea muda mpaka kuja kutupigia kelele hapa?
Ukiingia ofisi yoyote ambayo si ofisi magumashi ni lazima ukute picha ya Magufuli ukutani kwenye fremu, nakukumbusha tu hili uwe na akili na uwache ujingaujinga.
You are a cursed individual!Nina uhakika huzitambui gari za serikali.
Hao watu wa PA wanakupotezea muda mpaka kuja kutupigia kelele hapa?
Ukiingia ofisi yoyote ambayo si ofisi magumashi ni lazima ukute picha ya Magufuli ukutani kwenye fremu, nakukumbusha tu hili uwe na akili na uwache ujingaujinga.
Lame justification!Mkuu hapa umeteleza tu.
Hiyo Ni gari binafsi.. wamelipwa kufikisha ujumbe unaotaka waufikishe kwa sauti.. na clearly Kama ulivyosema unewasikia wakiufikisha..watu wakalipe Kodi... Tunaweza sema TRA amepata alicholipia..
Lakini as a great business manager hainizui kufanya na mengine.. Sasa sauti haimzuii mtu kuona.. amekuja mtu anayetaka niweke picha zake za matangazo kwenye gari.. naachaje Sasa!?
Ungesikia amesema kitu juu ya hizo picha au gari lingekuwa la Halmashauri ya Manispaa au jiji.. hoja hii ingekuwa na mashiko.
Kwa Sasa mmiliki wa gari tumuache aongeze vyanzo vya mapato yake.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hilo gari ni gari binafsi, TRA hukodisha tu kwa ajili ya matangazo na hawana uwezo wa kumpa mashariti mmiliki wa gari aweke picha ipi au asiweke. Mbona ofisi zote za Serikali zina picha ya Magufuli hazijatolewa kwa nini usihoji hilo kwamba ni sehemu ya kampeni?Mamlaka ya Mapato Tanzania imeamua kumfanyia kampeni Magufuli kwa style ya aina yake.
Kuna gari ya matangazo ambayo sasa hivi iko kariakoo ikiwatangazia wafanyabiashara kulipa kodi. Gari hiyo imepigwa stika za matangazo ya mgombea wa urais Magufuli.
TRA acheni uhuni huu mara moja kwani nyie ni taasisi iliyohuru. Na kitendo cha kubandika stika kwenye gari hiyo ni kumpendelea mgombea huyo na matumizi mabaya ya kodi zetu wananchi
View attachment 1559182
Tume haijawahi kukemea dhidi ya CCM, na hautathubutu kufanya hivyo. Kuna magazeti na tv zilifungiwa kwa kutaja walimopita bila kupingwa. Jana Chenge kawataja walimopita jimboni kwao, isubiri tume.Kuna mambo yatakupasua kichwa bure it's better to stay quiet badala ya kujaji mambo madogo kama hayo at least tume ndio wangefanya hivyo labda.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app