TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
I like your idea!!!TRA watengeneza maduka ya mfano waanze kupractice kulipa Kodi wao wenyewe waone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I like your idea!!!TRA watengeneza maduka ya mfano waanze kupractice kulipa Kodi wao wenyewe waone.
Kweli kabisa mkuuUkisoma vizuro namana wanavyokokotoa hapo kwenye mfano, unalipa kodi ya kodi uliyolipa.
TRA thievery!
WIZI MTUPU!
Duh! Wanakaba na kuuwa taratibu.ndio maana biashara nyingi Tanzania haziendelee na zingine kufa kifo cha mende.Bado kuna port charges, shipping line charges, wharfage, clearing Agent charges, local transport charges NK.
Unalipa Kodi ya Kodi ni Akili au matope hamna kitu ni sifuri tu.![]()
![]()
Ila bado tunahitaji ufafanuzi wa hicho mnchoita thamani ya forodha na mjiongeze kwa kuweka sheria na kifungu husika kinachowaongoza kutenda haya ambayo yanaliza watu kila siku
Unaamini una mbunge au wewe mwenyewe ndo mbunge?Mimi ninaanza na mbuge wangu, asipolisemea bungeni bunge lijalo na bajeti sitamuunga mkono hata kidogo
Hizo charges zote zinapigwa kodi na vat zake!Bado kuna port charges, shipping line charges, wharfage, clearing Agent charges, local transport charges NK.
Mlaji wa mwisho, Mimi nawewe tunapo nunua bidhaa.Au sio... unakusanya kutoka kwa wateja wap hao..
Umelipa kodi ya kwanza tena kukata kodi ya pili unajumlishiwa na kodi ya kwanza, kodi nayo inatozwa kodiUnalipa Kodi ya Kodi ni Akili au matope hamna kitu ni sifuri tu.
Umewaza kma mm ....na waajiri muuzaji wamlipe na mshaharaTRA watengeneza maduka ya mfano waanze kupractice kulipa Kodi wao wenyewe waone?
Tatizo huko kuna watu ambao hawajawahi hata kuuza genge
Wateja anatengeneza TRA au mimi, hivi mnajua VAT kwa business owner ni expense na sio kama mnavofikiria.... kumbuka una compete na wengine ambao sio VAT registered kwenye same market na similar product line.. hii game ni ngum kuliko mnavoweza kufikirMlaji wa mwisho, Mimi nawewe tunapo nunua bidhaa.
Sjakuelewa, kwamba Kuna waagizaji wa mizigo nje ya Nchi naWateja anatengeneza TRA au mimi, hivi mnajua VAT kwa business owner ni expense na sio kama mnavofikiria.... kumbuka una compete na wengine ambao sio VAT registered kwenye same market na similar product line.. hii game ni ngum kuliko mnavoweza kufikir