Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Tech. Inakuwa kila kukicha, Mamlaka husika inatakiwa walitazame hili.Kuna petrol na diesel. na ukiacha blank haitoi majibu. Au Tanzania hatujaruhusiwa kuimport magari ya umeme!
Labda nikuulize ukinunua Gari la kutumia umeme unalihakikishia vipi uhakika wa kulicharge as Electric Vehicle Charging Stations kwa Tanzania yetu bado ni ndoto!.We unanishauri nicheze kamari zama hizi. Unaweza kuagiza wakasema hatujaruhusu na hatuna sera hiyo kwa sasa. sijui ndo unaifanyaje. Fursa ya uber naiangalia kwa jicho la electric car.
TRA bado wana operate kizamani. Hata sehemu yakujaza nchi (country of origin) kuna Japan pekee.Kweli Tech. Inakuwa kila kukicha, Mamlaka husika inatakiwa walitazame hili.
acha uwoga mkuu nunua peleka documents utakadiriwa kodi we hujiulizi gari hybrid za hapa tz zimelipiwaje kodi na kwenye calculator hakuna option ya hybrid..We unanishauri nicheze kamari zama hizi. Unaweza kuagiza wakasema hatujaruhusu na hatuna sera hiyo kwa sasa. sijui ndo unaifanyaje. Fursa ya uber naiangalia kwa jicho la electric car.
Cheza tu ukishindwa ntakuja kulinunua kwenye mnadaWe unanishauri nicheze kamari zama hizi. Unaweza kuagiza wakasema hatujaruhusu na hatuna sera hiyo kwa sasa. sijui ndo unaifanyaje. Fursa ya uber naiangalia kwa jicho la electric car.