TRA Dodoma, fuatilieni matumizi ya mashine za EFD

TRA Dodoma, fuatilieni matumizi ya mashine za EFD

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Habari za Jumapili!

Leo napenda kuwahusia TRA Dodoma na Tanzania nzima kwa ujumla!

Naomba msikae ofisini, chukueni mda wenu kutembelea maeneo ya biashara iwe Kwa kusema au kwa kutosema, ili muone na kufanya ufuatiliaji juu ya matumizi ya mashine za Efd.

Nimekuwa Dodoma tena kwa wiki nzima na kusema kweli nimeshuhudia maeneo mengi ya Dodoma ikiwemo maeneo ya mjini, Kwa waziri mkuu, sabasaba na hata kisasa maduka mengi sana yanafanya biashara sana lakini hawatoi risiti za efd. Hili limeniumiza sana kwa kweli.

Najua Mama Samia amewaambia msibambike watu kodi Ila hajawaambia sasa mlale na muache kufuatilia suala la ulipaji kodi hapa Tanzania.

Nimekuwa na Safari nyingi za Dodoma hivi karibuni na kusema kweli sijapenda hali niliyoiona hasa kwa wafanyabiashara kutotoa risiti na wengine ukiwadai wanakuonesha mashine za efd sikuwa zimejaa vumbi kiashiria kuwa hata hazitumiki.

Naomba katika kuhakikisha nchi yetu inafanya vizuri kiuchumi, muwe serious kwenye suala la kukusanya kodi, msilegee hata siku moja kwenye

1. Kuelimisha watu juu ya kukusanya kodi kupitia matangazo ya Tv na Radio

2. Kufanya ukaguzi na ufuatiliaji wa mara kwa Mara mitaani juu ya matumizi ya mashine zenu za kodi ( efd machine)

3. Naomba kama mnaona hamna nguvu kazi ya kutosha, basi amueni kushirikiana na serikali za kata/ mitaa katika kufuatilia na kukagua matumizi ya efd machines.

Tanzania ni yetu sote na lazima wote tuhakikishe kila mtu anatimiza wajibu wake ili tupate maendeleo ya kweli.
 
Mnawalazimisha wafanyabiashara kutumia hizo EFD machines as if mnawasaidia kwenye kulipa marejesho ya mikopo yao.

Na kodi zenyewe mngekuwa mnazitumia kwenye masuala ya msingi, ingekuwa ahueni! Kwa bahati mbaya karibia nusu ya kodi zetu mnazitumia kwenye matumizi ya hovyo tu na upigaji.
 
Mara nyingi ukidai risit wanakwambia mashine Ni mbovu,ninadhani Hawa TRA wawe wanafanya ukaguzi kwa kushitukiza
 
Habari za Jumapili!

Leo napenda kuwahusia TRA Dodoma na Tanzania nzima kwa ujumla!

Naomba msikae ofisini, chukueni mda wenu kutembelea maeneo ya biashara iwe Kwa kusema au kwa kutosema, ili muone na kufanya ufuatiliaji juu ya matumizi ya mashine za Efd.

Nimekuwa Dodoma tena kwa wiki nzima na kusema kweli nimeshuhudia maeneo mengi ya Dodoma ikiwemo maeneo ya mjini, Kwa waziri mkuu, sabasaba na hata kisasa maduka mengi sana yanafanya biashara sana lakini hawatoi risiti za efd. Hili limeniumiza sana kwa kweli.

Najua Mama Samia amewaambia msibambike watu kodi Ila hajawaambia sasa mlale na muache kufuatilia suala la ulipaji kodi hapa Tanzania.

Nimekuwa na Safari nyingi za Dodoma hivi karibuni na kusema kweli sijapenda hali niliyoiona hasa kwa wafanyabiashara kutotoa risiti na wengine ukiwadai wanakuonesha mashine za efd sikuwa zimejaa vumbi kiashiria kuwa hata hazitumiki.

Naomba katika kuhakikisha nchi yetu inafanya vizuri kiuchumi, muwe serious kwenye suala la kukusanya kodi, msilegee hata siku moja kwenye

1. Kuelimisha watu juu ya kukusanya kodi kupitia matangazo ya Tv na Radio

2. Kufanya ukaguzi na ufuatiliaji wa mara kwa Mara mitaani juu ya matumizi ya mashine zenu za kodi ( efd machine)

3. Naomba kama mnaona hamna nguvu kazi ya kutosha, basi amueni kushirikiana na serikali za kata/ mitaa katika kufuatilia na kukagua matumizi ya efd machines.

Tanzania ni yetu sote na lazima wote tuhakikishe kila mtu anatimiza wajibu wake ili tupate maendeleo ya kweli.

Kwa nini haujashauri matumizi sahihi ya kodi na kushauri udhibiti wa wizi wa Kodi za umma ili kila mlipa Kodi ifike mahali aone aibu kutodai receipt anaponunua kitu? Haiingii akilini Kodi ikusanywe halafu watu wakae na kuidhinisha allowance nje ya mpangilio, ufisadi na nia ya kuwadhibiti hao wanaotumia kilichokisanywa ikikosekana hakuna atakayeona aibu ya kutodai receipt toka kwa muuzaji. Tra hata wote wakiingia mtaani na kufatilia kila duka bado haitawezekana zaidi na wao watashiriki kuchukua Kodi zao kwa wale watakaokamatwa, Ila kila mwananchi akiwa na Imani na matumizi sahihi ya kodi yake mfanyabiashara Jana jeuri, na huyo mnunuaji atapata ujasili wa kumuripoti mkwepa Kodi kwa mamlaka
 
Habari za Jumapili!

Leo napenda kuwahusia TRA Dodoma na Tanzania nzima kwa ujumla!

Naomba msikae ofisini, chukueni mda wenu kutembelea maeneo ya biashara iwe Kwa kusema au kwa kutosema, ili muone na kufanya ufuatiliaji juu ya matumizi ya mashine za Efd.

Nimekuwa Dodoma tena kwa wiki nzima na kusema kweli nimeshuhudia maeneo mengi ya Dodoma ikiwemo maeneo ya mjini, Kwa waziri mkuu, sabasaba na hata kisasa maduka mengi sana yanafanya biashara sana lakini hawatoi risiti za efd. Hili limeniumiza sana kwa kweli.

Najua Mama Samia amewaambia msibambike watu kodi Ila hajawaambia sasa mlale na muache kufuatilia suala la ulipaji kodi hapa Tanzania.

Nimekuwa na Safari nyingi za Dodoma hivi karibuni na kusema kweli sijapenda hali niliyoiona hasa kwa wafanyabiashara kutotoa risiti na wengine ukiwadai wanakuonesha mashine za efd sikuwa zimejaa vumbi kiashiria kuwa hata hazitumiki.

Naomba katika kuhakikisha nchi yetu inafanya vizuri kiuchumi, muwe serious kwenye suala la kukusanya kodi, msilegee hata siku moja kwenye

1. Kuelimisha watu juu ya kukusanya kodi kupitia matangazo ya Tv na Radio

2. Kufanya ukaguzi na ufuatiliaji wa mara kwa Mara mitaani juu ya matumizi ya mashine zenu za kodi ( efd machine)

3. Naomba kama mnaona hamna nguvu kazi ya kutosha, basi amueni kushirikiana na serikali za kata/ mitaa katika kufuatilia na kukagua matumizi ya efd machines.

Tanzania ni yetu sote na lazima wote tuhakikishe kila mtu anatimiza wajibu wake ili tupate maendeleo ya kweli.
Itafikia mahali serikali itashindwa kuwalipa watumishi wake mishahara kwa mchezo huo wa tra
 
Rubbish[emoji3525]
Kodi zenyewe unazopigia kelele ndio hizo hizo zinaenda kuwagharamia kina mchopanga[emoji1787]
 
Mmekaririshwa kuhusu efd hamjui hata mnachokiongea Serikali inaweza kuwabana wafanyabiashara wanapoingiza mizigo walipe kodi sahihi mzunguko ukiwa mkubwa wanapata mapato ya kutosha achaneni na huo umasikini wa vifuko na risiti ndg yangu mmoja yupo hapa kila saa anauliza huku hawawafatilii risiti namwambia wanawabana waleta mizigo mikubwa durban sisi hata uwe na maduka mia hupati usumbufu kama ukiwa na saloon bongo SARS wanafurahi kuona mauzo yako yanapanda na wanakwambia ukifika level fulani mnakaa kuhusu kodi tunaumiza kichwa kodi ya Landroad tuu..kodi inakabwa bandarini sio kwa wachimbachumvi..
 
Mimi siwezi kuunga mkono raia wenzangu kuteswa kulipa kodi ambayo ikishakuasanywa matumizi yake ni kulipa mishahara minono wabunge vichwa panzi, kuwajengea maraisi wa staafu majumba ya kifahari na kuwanunulia magari ya million 400.

Lakini zaidi siwezi kukubali walipe kodi kwa serikali ambayo kutwa inawadhulumu raia haki zao za msingi na kutokuwawekea mazingira mazuri vijana wawe na life ya kueleweka..

So kwa hili mimi nasimama na wakwepa kodi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Labda mama ana mapesa mengi yanashuka kama mvua,inasikitisha Sana kuona mapato hayakusanywi .Cha kushangaza sio tuu huko Dom bali maeneo mengi ya Nchi ikiwemo huku niliko mimi.

Wafanyabiashara wanatumia mashine kwa ajili ya kuonesha tuu kwamba mashine isome huko TRA na wanaingiza quantity kidogo.

Hii nchi ina pesa Sana kama ukitafutwa utaratibu mpya wa kodi.
 
Habari za Jumapili!

Leo napenda kuwahusia TRA Dodoma na Tanzania nzima kwa ujumla!

Naomba msikae ofisini, chukueni mda wenu kutembelea maeneo ya biashara iwe Kwa kusema au kwa kutosema, ili muone na kufanya ufuatiliaji juu ya matumizi ya mashine za Efd.

Nimekuwa Dodoma tena kwa wiki nzima na kusema kweli nimeshuhudia maeneo mengi ya Dodoma ikiwemo maeneo ya mjini, Kwa waziri mkuu, sabasaba na hata kisasa maduka mengi sana yanafanya biashara sana lakini hawatoi risiti za efd. Hili limeniumiza sana kwa kweli.

Najua Mama Samia amewaambia msibambike watu kodi Ila hajawaambia sasa mlale na muache kufuatilia suala la ulipaji kodi hapa Tanzania.

Nimekuwa na Safari nyingi za Dodoma hivi karibuni na kusema kweli sijapenda hali niliyoiona hasa kwa wafanyabiashara kutotoa risiti na wengine ukiwadai wanakuonesha mashine za efd sikuwa zimejaa vumbi kiashiria kuwa hata hazitumiki.

Naomba katika kuhakikisha nchi yetu inafanya vizuri kiuchumi, muwe serious kwenye suala la kukusanya kodi, msilegee hata siku moja kwenye

1. Kuelimisha watu juu ya kukusanya kodi kupitia matangazo ya Tv na Radio

2. Kufanya ukaguzi na ufuatiliaji wa mara kwa Mara mitaani juu ya matumizi ya mashine zenu za kodi ( efd machine)

3. Naomba kama mnaona hamna nguvu kazi ya kutosha, basi amueni kushirikiana na serikali za kata/ mitaa katika kufuatilia na kukagua matumizi ya efd machines.

Tanzania ni yetu sote na lazima wote tuhakikishe kila mtu anatimiza wajibu wake ili tupate maendeleo ya kweli.
Hapa wa kulaumiwa sio tuu TRA bali na polisi na mlaji,kiufupi hata mimi huwa sipendi kabisa kutoa pesa yangu eti mtu asinipe lisiti.

Ndio najiuliza Waziri wa fedha na mama labda wamepata mapesa mengi ya wafadhili.

Hivi karibuni wameacha kutangaza makusanyo ya kila mwezi na hata ukizungumza na wafanyabiashara wanasema TRA wameacha kufuatilia.Pengine sikuhizi hawawekewi malengo ya makusanyo.

Sijui hayo maendeleo tutapataje bila kodi,kubambikia kodi hakuhusiani na wao TRA kitimiza wajibu wao.

Kama TRA ndio wamelega hivi sijui huko Halmashauri na taasisi zingine ambako wanakusanya kwa cash na risiti za kawaida kama pesa itakusanywa sasa kwa staili hii.
 
Aliekwambia kodi hazitumiki kwenye masuala ya msingi nani?
Mnawalazimisha wafanyabiashara kutumia hizo EFD machines as if mnawasaidia kwenye kulipa marejesho ya mikopo yao.

Na kodi zenyewe mngekuwa mnazitumia kwenye masuala ya msingi, ingekuwa ahueni! Kwa bahati mbaya karibia nusu ya kodi zetu mnazitumia kwenye matumizi ya hovyo tu na upigaji.
 
Hapa wa kulaumiwa sio tuu TRA bali na polisi na mlaji,kiufupi hata mimi huwa sipendi kabisa kutoa pesa yangu eti mtu asinipe lisiti.

Ndio najiuliza Waziri wa fedha na mama labda wamepata mapesa mengi ya wafadhili.

Hivi karibuni wameacha kutangaza makusanyo ya kila mwezi na hata ukizungumza na wafanyabiashara wanasema TRA wameacha kufuatilia.Pengine sikuhizi hawawekewi malengo ya makusanyo.

Sijui hayo maendeleo tutapataje bila kodi,kubambikia kodi hakuhusiani na wao TRA kitimiza wajibu wao.

Kama TRA ndio wamelega hivi sijui huko Halmashauri na taasisi zingine ambako wanakusanya kwa cash na risiti za kawaida kama pesa itakusanywa sasa kwa staili hii.
Hii hali imenishtua sana hasa nilipoiona Dodoma. Nafikiri kuna ka hujuma cha kumtaka Mama Samia afeli ili wapate cha kuongea!
 
Mimi siwezi kuunga mkono raia wenzangu kuteswa kulipa kodi ambayo ikishakuasanywa matumizi yake ni kulipa mishahara minono wabunge vichwa panzi, kuwajengea maraisi wa staafu majumba ya kifahari na kuwanunulia magari ya million 400.

Lakini zaidi siwezi kukubali walipe kodi kwa serikali ambayo kutwa inawadhulumu raia haki zao za msingi na kutokuwawekea mazingira mazuri vijana wawe na life ya kueleweka..

So kwa hili mimi nasimama na wakwepa kodi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Huoni barabara zinazojengwa? Huoni Dawa zinazonunuliwa hospitali? Huoni miradi ya maji na mashule?? Unadhani hizo hela zinashuka tu???
 
Wew utakua na element za uchawi sasa kinacho kuuma wew ninin? Acha watu wafanye biashara zao ujui wametoa wapi mtaji subiri mkeka Uvccm wew.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kwa iyo unamaanisha watu wasilipe kodi kwa sababu hatujui wanepataje mitaji??

Samahani don’t be offended! Umeishia darasa la ngapi???
 
Back
Top Bottom