TRA, E-filing System inarudisha nyuma kasi ya uchumi wa Biashara

TRA, E-filing System inarudisha nyuma kasi ya uchumi wa Biashara

Changamoto ni nyingi lkn naamini wanaendelea kuboresha mifumo hiyo.
Tuombe iwe hivyo lakini pia hatuwezi kukwepa changamoto katika jambo jipya ila ni vizuri watupe mrejesho na waondoe utaratibu wa penalty kwa sasa mpaka mambo yatakapo kaa sawa
 
Adapt to the prblems find a solution. for me huwa nafile kabla ya tar 5 ikiwa sambamba na statutory zote za mwezo uliopita sababu pia lazima nisubmiy MIS Kabla ya date 10. Why wait till near deadline to file?
Efilling ni shida siku zote. Wala sio mwisho wa mwezi au kwenye deadlini. Unafanya kazi katibkati inakata. Unaanza upya. Watu wanaamka saa 8 usiku kufanya filling bado shida.
Mbona tesws ya customs hailalamikiwi
 
Usinipangie cha kuandika mkuu.

Nitaandika navyojisikia katika mada yeyote bila kujali wewe au mtu mwingine yeyote ana mtazamo gani juu ya nilichoandika. So long as i believe nilicho andika.

Hiyo ndio kanuni yangu. Hutaki kunywa sumu.

Mjinga wewe.
Sawa sikatai Boss Mimi ni mjinga sana kuliko wajinga wote Duniani

Isipokua kundika ili mradi unaandika tu hata kwa kitu usichokijua huo ni uchizi na ndio mana nikakwambia maandishi yako yanafanana na Avatar yako au hukunielewa mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]

USHAURI:
Andika chochote utakacho aidha kwa kueleza au kufafanua unalolielewa, kwa kutaarifu kilichotokea, kwa kufundisha elimu uliyobobea, kwa kutahadharisha hatari iliyopo, kwa kuhimiza n.k ....

... ila kwa usichokijua andika kwa kuuliza

Ahsante [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Sawa sikatai Boss Mimi ni mjinga sana kuliko wajinga wote Duniani

Isipokua kundika ili mradi unaandika tu hata kwa kitu usichokijua huo ni uchizi na ndio mana nikakwambia maandishi yako yanafanana na Avatar yako au hukunielewa mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]

USHAURI:
Andika chochote utakacho aidha kwa kueleza au kufafanua unalolielewa, kwa kutaarifu kilichotokea, kwa kufundisha elimu uliyobobea, kwa kutahadharisha hatari iliyopo, kwa kuhimiza n.k ....

... ila kwa usichokijua andika kwa kuuliza

Ahsante [emoji120][emoji120][emoji120]
Idiot.
 
Usinipangie cha kuandika mkuu.

Nitaandika navyojisikia katika mada yeyote bila kujali wewe au mtu mwingine yeyote ana mtazamo gani juu ya nilichoandika. So long as i believe nilicho andika.

Hiyo ndio kanuni yangu. Hutaki kunywa sumu.

Mjinga wewe.

Unaleta mada halafu unapangia watu nani achangie na nani asichangie.

This is a public forum and everyone is invited to air his/her comment at his/her disposal.

Kama vipi ungewapigia simu TRA.

Mpumbavu nanusu.

Na siku nyingine usiandike mada ya kijinga kama hii.
[emoji15]Du! Mkuu mbona umepanic sana yaani mpaka umerudi kwa moderate kuedit comment pole Mzee sikujua upo short tampered kiasi hicho, I am sorry Bro.

Ila angalia Kaka usije kuvunja vitu hapo kwa hasira na kama upo sehemu kwenye jengo la vioo please toka nje ukae pembeni tafuta maji baridi kunywa upoe kidogo

JF ipo tu Mkuu usipanic sana hasa unapoelezwa ukweli jaribu kuwa muelewa ukipanic sana utazidi kututengenezea picha kichwani ni jinsi gani upo kama ilivyo Avatar yako [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Wengi wanafanya wakati wa deadline halafu mfumo ukizidiwa wanalalamika.

Mfumo kuzidiwa sio kosa la watu kufanya wakati wa deadline, bali ni uwezo mdogo wa huo mfumo. Ingia Google tafuta chochote, haijalishi mko wangapi, wote inawapa majibu ya request zenu kwa wakati. Watumie server zilizofast na sio kulazimisha mambo yaliyo nje ya uwezo wao.

Kama vipi mfumo wao ni mdogo wasipige wetu fine kwa uzembe wao. Au wafanye settings kuonyesha aliyejaribu kulogin kwenye mfumo akashindwa ili asipigwe fine kwa kuchelewesha returns.
 
leo si ndo unepoteamo kabisa mfumo 🤣🤣🤣🤣 wahasibu 225,000 zinakatwa kwenye mishahara
 
leo si ndo unepoteamo kabisa mfumo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wahasibu 225,000 zinakatwa kwenye mishahara
Bora wenye wahasibu watawakata mishahara kurecover hasara ya penalty sasa sisi waganga njaa tunajikata kwenye faida mimi safari Bora wafunge na hiyo biashara yenyewe silipi ntaenda Burundi
 
Back
Top Bottom