KERO TRA geti la Makuyuni Arusha ni tatizo, madereva wa malori tunapata tabu

KERO TRA geti la Makuyuni Arusha ni tatizo, madereva wa malori tunapata tabu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Rumanyika Donatus

New Member
Joined
Aug 3, 2021
Posts
4
Reaction score
2
Kuna gate moja la barabarani wanakaa tra liko pale Makuyuni, jamani pale kuna tatizo. Iwapo utapita na lori lako pale umebeba mafuta ya kula umetoka zako Dar jamaa wanasumbua utadhani unavuka mpaka wakuingia nchi nyingine.

Mwisho wanataka pesa ambayo hata ukifikisha mzigo hauendi kupata faida hata kiduchu wanakula mpaka na mtaji. Jamaa moja alikwamishwa pale siku nne, yaani kama wanavita na wauzaji wa mafuta ya kula.
 
TRA kuna namna wameamua kuihujumu jamii ya wafanyabishara na taifa kwa ujumla. Huwezi ng'ang'ania mapato kwenye hela ambayo hujui mtu kapataje.
 
Back
Top Bottom