TRA: Hatuhusiki na kupotea kwa mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi

TRA: Hatuhusiki na kupotea kwa mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Baada ya taarifa za kupotea kwa Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi ambaye hakurudi nyumbani kwake toka alipoingia kazini December 11, 2024 Jijini Dar es salaam, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haihusiki na swala la kupotea kwa Mfanyabiashara huyo.
IMG_1576.jpeg

Taarifa hii ya TRA inakuja baada ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob kuandika kuwa Ulomi amesema aliondoka Sinza kwenda Mbagala Bandari kavu kukagua kontena lake baada ya kuitwa na Watu wa TRA kwa ajili ya ukaguzi.

Taarifa ya TRA imeeleza yafuatayo "Ni Wakala wa Forodha peke yake ndiye anayewajibika kusimamia taratibu zote za kiforodha za uondoshaji wa mizigo Bandarini kwa niaba ya Muagizaji Mzigo na sio Muagizaji wa mzigo"

"Kwa mujibu wa kumbukumbu zetu, Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi alichagua Kampuni ya Wakala wa forodha ya TWENDE FREIGHT FORWARDERS LIMITED kupitia barua yake kwa TRA December 5 2024 kuwajibika kuondosha mizigo yake Bandarini kulingana na taratibu za forodha, kwa misingi hiyo TRA imekuwa ikifanya kazi na Wakala wake ambaye bado hajakamilisha taratibu za kiforodha kuondosha mizigo husika"

"TRA haijawahi kumuita wala kufanya naye kazi Mfanyabiashara huyo katika Ofisi zake kwa jambo lolote, suala la kutoonekana kwa Mfanyabiashara huyo ni jambo la Kipolisi ambalo TRA haihusiki nalo" - imeeleza taarifa ya TRA.
IMG_1574.jpeg


Pia, Soma:

Mfanyabiashara Ulomi apotea, familia na Polis wanamtafuta

Polisi waanza kumtafuta Ulomi anayedaiwa kupotea
 
Kweli kabisa Tanzania sio salama tena watekaji wanajulikana plus visasi pia....uvccm wana makundi yao na policcm na tiss humo humo wanajulikana .....wanaua na kutupa porini au mito mikubwa...
 
Baada ya taarifa za kupotea kwa Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi ambaye hakurudi nyumbani kwake toka alipoingia kazini December 11, 2024 Jijini Dar es salaam, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haihusiki na swala la kupotea kwa Mfanyabiashara huyo.
View attachment 3177009
Taarifa hii ya TRA inakuja baada ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob kuandika kuwa Ulomi amesema aliondoka Sinza kwenda Mbagala Bandari kavu kukagua kontena lake baada ya kuitwa na Watu wa TRA kwa ajili ya ukaguzi.

Taarifa ya TRA imeeleza yafuatayo "Ni Wakala wa Forodha peke yake ndiye anayewajibika kusimamia taratibu zote za kiforodha za uondoshaji wa mizigo Bandarini kwa niaba ya Muagizaji Mzigo na sio Muagizaji wa mzigo"

"Kwa mujibu wa kumbukumbu zetu, Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi alichagua Kampuni ya Wakala wa forodha ya TWENDE FREIGHT FORWARDERS LIMITED kupitia barua yake kwa TRA December 5 2024 kuwajibika kuondosha mizigo yake Bandarini kulingana na taratibu za forodha, kwa misingi hiyo TRA imekuwa ikifanya kazi na Wakala wake ambaye bado hajakamilisha taratibu za kiforodha kuondosha mizigo husika"

"TRA haijawahi kumuita wala kufanya naye kazi Mfanyabiashara huyo katika Ofisi zake kwa jambo lolote, suala la kutoonekana kwa Mfanyabiashara huyo ni jambo la Kipolisi ambalo TRA haihusiki nalo" - imeeleza taarifa ya TRA.View attachment 3177008

Pia, Soma:

Mfanyabiashara Ulomi apotea, familia na Polis wanamtafuta

Polisi waanza kumtafuta Ulomi anayedaiwa kupotea
Juzi walijinasibu kama wana mamlaka na hawahitaji order ya mahakama leo wanadai hawahusiki wao wana deal na wakala tu sio muagiza mzigo/Gari why Ile X6 walimfuata owner na sio wakala
 
Baada ya taarifa za kupotea kwa Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi ambaye hakurudi nyumbani kwake toka alipoingia kazini December 11, 2024 Jijini Dar es salaam, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haihusiki na swala la kupotea kwa Mfanyabiashara huyo.
View attachment 3177009
Taarifa hii ya TRA inakuja baada ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob kuandika kuwa Ulomi amesema aliondoka Sinza kwenda Mbagala Bandari kavu kukagua kontena lake baada ya kuitwa na Watu wa TRA kwa ajili ya ukaguzi.

Taarifa ya TRA imeeleza yafuatayo "Ni Wakala wa Forodha peke yake ndiye anayewajibika kusimamia taratibu zote za kiforodha za uondoshaji wa mizigo Bandarini kwa niaba ya Muagizaji Mzigo na sio Muagizaji wa mzigo"

"Kwa mujibu wa kumbukumbu zetu, Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi alichagua Kampuni ya Wakala wa forodha ya TWENDE FREIGHT FORWARDERS LIMITED kupitia barua yake kwa TRA December 5 2024 kuwajibika kuondosha mizigo yake Bandarini kulingana na taratibu za forodha, kwa misingi hiyo TRA imekuwa ikifanya kazi na Wakala wake ambaye bado hajakamilisha taratibu za kiforodha kuondosha mizigo husika"

"TRA haijawahi kumuita wala kufanya naye kazi Mfanyabiashara huyo katika Ofisi zake kwa jambo lolote, suala la kutoonekana kwa Mfanyabiashara huyo ni jambo la Kipolisi ambalo TRA haihusiki nalo" - imeeleza taarifa ya TRA.View attachment 3177008

Pia, Soma:

Mfanyabiashara Ulomi apotea, familia na Polis wanamtafuta

Polisi waanza kumtafuta Ulomi anayedaiwa kupotea
Wale jamaa wa TRA kupigwa mawe pale Tegeta ilikuwa sahihi......TRA ni sehemu mojawapo watekaji hujinasibumo
 
Back
Top Bottom