TRA: Hatuhusiki na kupotea kwa mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi

CHADEMA imekosa hoja kabisa. Yaani TRA imteke mtu ili nini? Huyu Boni si ndo alisema Lissu anafanya uhaini kwa kuutaka uenyekiti?
Watekaji pia huvaa koti la TRA...ndio kisa na maana wakalambwa mawe palee Tegetani
 
Kwa sasa ukikutana na TRA...piga mawe tu kuba baba zao
 
Ukikubali kubebwa na watu wanajitambulisha kuwa ni mamlaka yoyote ya serikali basi unakubali kifo. Pambana, bora ufie hapohapo ijulikane!
 
Aisee inasikitisha sana yaani mtu anatoka mzima kutoka kwenye familia yake harafu baadae anarudi maiti pana watu hawauawi namna hiyo mtakuja kusema hapa baadae..
 
TRA Tanzania ndio mkome kujidai mapolisi, kukimbiza magari ya watu usiku wa manane
 
Ni hatari sana kuihusisha TRA na haya masuala ya utekaji.
Mbona hao hao TRA walikiri kuhusika kwenye sakata la kakamata (a.k.a utekaji) wa mtu na gari yake Tegeta, tena usiku?!

Ukute wale wawakilishi wa TRA wangefanikiwa kumkamata yule jamaa angeshakata moto
 
Reactions: Tsh
Nchi imekuwa na watu wenye roho za kuzimu wamejaa ushetani sana
 
Juzi walijinasibu kama wana mamlaka na hawahitaji order ya mahakama leo wanadai hawahusiki wao wana deal na wakala tu sio muagiza mzigo/Gari why Ile X6 walimfuata owner na sio wakala
Tena walienda kumkamata usiku!!!
 
What a painful ending? 😭
 
Mbona hao hao TRA walikiri kuhusika kwenye sakata la kakamata (a.k.a utekaji) wa mtu na gari yake Tegeta, tena usiku?!

Ukute wale wawakilishi wa TRA wangefanikiwa kumkamata yule jamaa angeshakata moto
Inasikitisha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…