Watekaji pia huvaa koti la TRA...ndio kisa na maana wakalambwa mawe palee TegetaniCHADEMA imekosa hoja kabisa. Yaani TRA imteke mtu ili nini? Huyu Boni si ndo alisema Lissu anafanya uhaini kwa kuutaka uenyekiti?
TRA Tanzania ndio mkome kujidai mapolisi, kukimbiza magari ya watu usiku wa mananeBaada ya taarifa za kupotea kwa Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi ambaye hakurudi nyumbani kwake toka alipoingia kazini December 11, 2024 Jijini Dar es salaam, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haihusiki na swala la kupotea kwa Mfanyabiashara huyo.
View attachment 3177009
Taarifa hii ya TRA inakuja baada ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob kuandika kuwa Ulomi amesema aliondoka Sinza kwenda Mbagala Bandari kavu kukagua kontena lake baada ya kuitwa na Watu wa TRA kwa ajili ya ukaguzi.
Taarifa ya TRA imeeleza yafuatayo "Ni Wakala wa Forodha peke yake ndiye anayewajibika kusimamia taratibu zote za kiforodha za uondoshaji wa mizigo Bandarini kwa niaba ya Muagizaji Mzigo na sio Muagizaji wa mzigo"
"Kwa mujibu wa kumbukumbu zetu, Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi alichagua Kampuni ya Wakala wa forodha ya TWENDE FREIGHT FORWARDERS LIMITED kupitia barua yake kwa TRA December 5 2024 kuwajibika kuondosha mizigo yake Bandarini kulingana na taratibu za forodha, kwa misingi hiyo TRA imekuwa ikifanya kazi na Wakala wake ambaye bado hajakamilisha taratibu za kiforodha kuondosha mizigo husika"
"TRA haijawahi kumuita wala kufanya naye kazi Mfanyabiashara huyo katika Ofisi zake kwa jambo lolote, suala la kutoonekana kwa Mfanyabiashara huyo ni jambo la Kipolisi ambalo TRA haihusiki nalo" - imeeleza taarifa ya TRA.View attachment 3177008
Pia, Soma:
• Mfanyabiashara Ulomi apotea, familia na Polis wanamtafuta
• Polisi waanza kumtafuta Ulomi anayedaiwa kupotea
Wenyewe TRA Tanzania ndio wamejitengenezea mazingira hayo, haswa kwa kujifanya kufanya KAZI zao kipolisiNi hatari sana kuihusisha TRA na haya masuala ya utekaji.
Mbona hao hao TRA walikiri kuhusika kwenye sakata la kakamata (a.k.a utekaji) wa mtu na gari yake Tegeta, tena usiku?!Ni hatari sana kuihusisha TRA na haya masuala ya utekaji.
Tena walienda kumkamata usiku!!!Juzi walijinasibu kama wana mamlaka na hawahitaji order ya mahakama leo wanadai hawahusiki wao wana deal na wakala tu sio muagiza mzigo/Gari why Ile X6 walimfuata owner na sio wakala
What a painful ending? 😭Baada ya taarifa za kupotea kwa Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi ambaye hakurudi nyumbani kwake toka alipoingia kazini December 11, 2024 Jijini Dar es salaam, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haihusiki na swala la kupotea kwa Mfanyabiashara huyo.
View attachment 3177009
Taarifa hii ya TRA inakuja baada ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob kuandika kuwa Ulomi amesema aliondoka Sinza kwenda Mbagala Bandari kavu kukagua kontena lake baada ya kuitwa na Watu wa TRA kwa ajili ya ukaguzi.
Taarifa ya TRA imeeleza yafuatayo "Ni Wakala wa Forodha peke yake ndiye anayewajibika kusimamia taratibu zote za kiforodha za uondoshaji wa mizigo Bandarini kwa niaba ya Muagizaji Mzigo na sio Muagizaji wa mzigo"
"Kwa mujibu wa kumbukumbu zetu, Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi alichagua Kampuni ya Wakala wa forodha ya TWENDE FREIGHT FORWARDERS LIMITED kupitia barua yake kwa TRA December 5 2024 kuwajibika kuondosha mizigo yake Bandarini kulingana na taratibu za forodha, kwa misingi hiyo TRA imekuwa ikifanya kazi na Wakala wake ambaye bado hajakamilisha taratibu za kiforodha kuondosha mizigo husika"
"TRA haijawahi kumuita wala kufanya naye kazi Mfanyabiashara huyo katika Ofisi zake kwa jambo lolote, suala la kutoonekana kwa Mfanyabiashara huyo ni jambo la Kipolisi ambalo TRA haihusiki nalo" - imeeleza taarifa ya TRA.View attachment 3177008
Pia, Soma:
• Mfanyabiashara Ulomi apotea, familia na Polis wanamtafuta
• Polisi waanza kumtafuta Ulomi anayedaiwa kupotea
Mbaya sana kwao hii.Wenyewe TRA Tanzania ndio wamejitengenezea mazingira hayo, haswa kwa kujifanya kufanya KAZI zao kipolisi
Inasikitisha mkuuMbona hao hao TRA walikiri kuhusika kwenye sakata la kakamata (a.k.a utekaji) wa mtu na gari yake Tegeta, tena usiku?!
Ukute wale wawakilishi wa TRA wangefanikiwa kumkamata yule jamaa angeshakata moto
Intel wanachojua ni mambo ya chadema
Tanzania Siyo salama tena
Ukikubali kubebwa na watu wanajitambulisha kuwa ni mamlaka yoyote ya serikali basi unakubali kifo. Pambana, bora ufie hapohapo ijulikane!
RIP ulomi
INTEL wasome account zake za benki kama kuna miamala yoyote inatoka wakati katekwa! watapata kujua wahusika
Wanatembea.....kivuli cha TRA task force.....
Intel wanachojua ni mambo ya chadema