Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
"Suala la ukusanyaji wa kodi za jengo kwa kutumia mita za LUKU ulishahamishwa kutoka TRA kwenda kwenye halmashauri na manispaa na majiji, imerudishwa serikali za mitaa.
TRA haihusiki tena na ukusanyaji wa kodi kupitia hizo LUKU." - Paul Walalaze, Meneja Elimu kwa Mlipakodi TRA alipoulizwa na Swahili Times kuhusu malalamiko ya wananchi juu ya ongezeko la makato kwenye kununua umeme
PIA SOMA
- Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya