Haya ni maajabu ya..........TRA, wakusanya kodi ktk SERIKALI ya TANGANYIKA/TANZANIA, leo wanakataa kuhusika, looh! Hayaetitegemee kuambiwa sasa kuwa walioamua kupandisha Kodi ya MAJENGO kuwa ni El shabaab wa SOMALIA au ISIS wa wapi vilee? Au watasema DP WORLD wa DUBEI, au mfalme wa SAUD ARABIA, aah, nisisahau huwenda watakuwa WACHINA au WA SOUTH KOREA?
Wajameni bagosha inatosha, wengine Burundi hatuna nauli kabisa kabisa!
Wale jamaa zetu kwa akina Onyango na Kalonzo Musyoka yaani Genetion - Z hawaji kutusaidia? Mbona tuna udugu wa damu damu