TRA hawana Formula au Software ya kukadiria kodi?



Angalia hapa halafu utuambie hii software kazi yake ni nini.

https://www.gosimpletax.com
 
Angalia hapa halafu utuambie hii software kazi yake ni nini.

https://www.gosimpletax.com


Hii Ni soft ware ya ku Calculate Tax to be paid from 'Acceptable' Revenue and 'acceptable' expenditure Au kwa lugha ya kikodi Income and expenditure allowable

Hii soft ware Haina uwezo wa kutambua Revenue uliyo pokea Halafu umeificha Au Cooked expenditure

Mf Mauzo yako yakiwa 100 million Lakin ikaweka figure ya 60 M hiyo software ita calculate base on 60M iliyoweka

Kama hujaelewa nijulishe nikupe Darsa zaid
 
TRA wanabambika kodi sana mtu unakabiashara kako ka mtaji wa M3 inaambiwa ulipe milioni moja na zaidi

Remember, your mind is greatest asset.
 
Nakuelewa sana lkn ata ufanye hayo bado my be uhonge ndio watakupunguzia hayo makadirio.

Remember, your mind is greatest asset.
 

Kama wewe ni mhasibu basi nchi hii ina matatizo makubwa kuliko nilivyokuwa nafikiri. Huna cha kunifundisha; maana kwako self=assessment na ERP ni misamiati migumu kwako kuelewa. Endelea kuamini kuwa hakuna tax management software duniani.
 
TRA wanabambika kodi sana mtu unakabiashara kako ka mtaji wa M3 inaambiwa ulipe milioni moja na zaidi

Remember, your mind is greatest asset.

Watakuambia mtafute mhasibu , pengune umekopa ka hela kadogo mahali wakati huo huo wew ni mtumishi mahali ...mtu anakuja na lisuti na tai na jua kali anakuambia lipia 1000000 , kama hutaki weka mhasabu yako mezani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…