Tra huu ni usanii

Mlachake

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2009
Posts
4,437
Reaction score
4,618
Jamani wana JF
Kuanzia Mwezi wa saba rate ya TRA ya ku inflate Bei za magari Kutoka Nje ili Mhusika alipe kodi kubwa imepanda kwa kasi sana.
Hivi kama nina TT form niliyojaza kuagizia Gari na E-mail Correspondents. Mtu anataka Ushahidi gani tena kujua Bei halali niliyonunulia gari.
Jamani TRA acheni usanii. Au ndo mnakusanya pesa za nanihiii...
 
Kitu kilichonishangaza sana ni kuona topic hii imekaa muda mrefu bila kuchangiwa. Na hiki ndio kilio cha watu wegi ambao waaagiza magari kutoka nje. Sasa kabla ya kutoa mani yangu ndugu yangu Malchake (hivi kuna mtu anakula cha mwingine! Hahahah!). hebu soma hizi valuation principales zinazotumiwa na TRA katika kutathmini bidhaa zote zinzoagizwa nje ya nchi. Ukimaliza kusoma niambie nikupe maoni yangu kwa nini wananfanya hivyo. Nitakuwekea machapisho mawili moja kutoka WTO na jingine kutoka sheria ya Forodha ya Afrika Mashariki inayotumika Tanzania. Kimsingi machapisho yote yanfanana. Ukimaliza kusoma niambie kwa nini yanatafsiriwa vibaya Tanzania.
View attachment CUSTOMS VALUATION METHODS.pdfView attachment FOURTH SCHEDULE OF EACMA.doc
 
Mlachake /Congo;

Ninakubaliana na michango yenu hapo juu.....TRA wamekuwa very agressive katika kukusanya kodi in TZ! Yes, wamekuwa wakiuplift CIF za magari bila mpangilio wowote na bila maelezo yanayoeleweka kwa mlipa kodi. Wanadai kwa kila aina ya gari wanastandard costs zao ambazo hutumika kama base ya kufanya assessment ya value ya gari lililoingizwa......! Which means hata kama muagizaji atakuwa kabargain na kupata bei ya chini, na hiyo cost ikawa chini ya ile waliyonayo (standard) they will go with theirs......!

Hata hivyo kama mlipa kodi hujaridhika na makadirio ya kodi, unaweza ukalipa under protest, then uka appeal kwa Commissioner for customs ukiambatanisha ushahidi wote eg email correspondences, Money transfer document (showing details za gari ulilonunua), ankara, etc etc......!

Tatizo la kuappeal ni kwamba inakupotezea muda mwingi sana kufuatilia kwa sababu these people wanakuwa very reluctant kudeal na cases hizi......!

Issue nyingine hapa, siku hizi hawa ma customs officers hawajulikana sana na wala huwezi kuwaona kirahisi na kwenye assessments wanakuwa identified kwa namba sio majina.....! hata ukienda pale kaunta huwezi waona wao, unawaona mamessangers tu...so kudeal na issues za appeal ina kuwa ngumu sana....ndio maana watu wengi hupenda kulipa tu magharama yasiyohalali.....! but this is not correct!
 
Utwiga huo. Watz tuacheni kuwa matwiga...we have to be aggressive!this is simply bulls***! Mnaogopa kisa process ndefu?fight for ur right!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…