Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,437
- 4,618
Jamani wana JF
Kuanzia Mwezi wa saba rate ya TRA ya ku inflate Bei za magari Kutoka Nje ili Mhusika alipe kodi kubwa imepanda kwa kasi sana.
Hivi kama nina TT form niliyojaza kuagizia Gari na E-mail Correspondents. Mtu anataka Ushahidi gani tena kujua Bei halali niliyonunulia gari.
Jamani TRA acheni usanii. Au ndo mnakusanya pesa za nanihiii...
Kuanzia Mwezi wa saba rate ya TRA ya ku inflate Bei za magari Kutoka Nje ili Mhusika alipe kodi kubwa imepanda kwa kasi sana.
Hivi kama nina TT form niliyojaza kuagizia Gari na E-mail Correspondents. Mtu anataka Ushahidi gani tena kujua Bei halali niliyonunulia gari.
Jamani TRA acheni usanii. Au ndo mnakusanya pesa za nanihiii...