TRA inapataje kodi za Kariakoo wakati jamaa hawatoagi risiti

TRA inapataje kodi za Kariakoo wakati jamaa hawatoagi risiti

Mzalendo07

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
71
Reaction score
120
Kariakoo ni kituko sehemu kama ile ningefikiria ndiyo iwe focal point ya ukusanyaji wa mapato lakini nenda duka lolote kariakoo ukanunue kitu alafu omba risiti uwone.

Kwanza wana kali moja hiyo, wanakuambia bila risiti bei inapungua, mbili, ukiwa unachukua mzigo mkubwa unapeleka mbali wanakupa risiti feki ya kusafirisha mzigo ikitokea ukakamatwa njiani.

Lumumba ndio mwisho wa matatizo ukinunua kitu ukaitaji risiti wako tiari wasikuuzie na wanakuambia bei wanayokuuzia ni ya wamachinga.
Sasa shida iko wapi?

1. Inamaanisha wakikupa risiti BEI ya bidhaa itakuwa juu na wanakuonea huruma ama wao wenyewe wanaona hawatauza.

2. TRA personnel wanaenda kuchukua chao baadae ili jamaa walipe kodi ndogo.

3. Kodi wanayotozwa ni kubwa ndio maana wanaikwepa.
 
Wenzio wamekopa trillion 4 na kugawana, halafu wewe wanataka ukomae kuwasaidia kulipa hilo deni la wala urojo, inaumiza sana.
 
Kariakoo ni kituko sehemu kama ile ningefikiria ndiyo iwe focal point ya ukusanyaji wa mapato lakini nenda duka lolote kariakoo ukanunue kitu alafu omba risiti uwone.

Kwanza wana kali moja hiyo, wanakuambia bila risiti bei inapungua, mbili, ukiwa unachukua mzigo mkubwa unapeleka mbali wanakupa risiti feki ya kusafirisha mzigo ikitokea ukakamatwa njiani.

Lumumba ndio mwisho wa matatizo ukinunua kitu ukaitaji risiti wako tiari wasikuuzie na wanakuambia bei wanayokuuzia ni ya wamachinga.
Sasa shida iko wapi?

1. Inamaanisha wakikupa risiti BEI ya bidhaa itakuwa juu na wanakuonea huruma ama wao wenyewe wanaona hawatauza.

2. TRA personnel wanaenda kuchukua chao baadae ili jamaa walipe kodi ndogo.

3. Kodi wanayotozwa ni kubwa ndio maana wanaikwepa.
Usipodai wewe watatoaje Sasa risiti? Mwisho Kuna waliokadiriwa Kodi so mashine Ni gelesha.
 
Swala la receipt ni nchi nzima, sio Karikaooo tu, TRA hizo kodi sijui wanazikusanyia wapi.
 
Kodi ni muhimu kwa maendeleo ya nchi ila sio Tanzania.

Wauzaji na wanunuzi wana macho na wanaona walamba asali wanachofanya kupitia hizi kodi...nao wameamua kuzitafuna zikiwa jikoni kabla hazijafika mezani.
 
Vipi wale wanaouza maji kwenye bowser? Je wanatoa efd receipts na kulipa kodi TRA?
 
Kariakoo ni kituko sehemu kama ile ningefikiria ndiyo iwe focal point ya ukusanyaji wa mapato lakini nenda duka lolote kariakoo ukanunue kitu alafu omba risiti uwone.

Kwanza wana kali moja hiyo, wanakuambia bila risiti bei inapungua, mbili, ukiwa unachukua mzigo mkubwa unapeleka mbali wanakupa risiti feki ya kusafirisha mzigo ikitokea ukakamatwa njiani.

Lumumba ndio mwisho wa matatizo ukinunua kitu ukaitaji risiti wako tiari wasikuuzie na wanakuambia bei wanayokuuzia ni ya wamachinga.
Sasa shida iko wapi?

1. Inamaanisha wakikupa risiti BEI ya bidhaa itakuwa juu na wanakuonea huruma ama wao wenyewe wanaona hawatauza.

2. TRA personnel wanaenda kuchukua chao baadae ili jamaa walipe kodi ndogo.

3. Kodi wanayotozwa ni kubwa ndio maana wanaikwepa.
Tulishawahi kuripoti hili TRA, lakini wamenogewa na njuruku
 
Nilichokibaini kwenye kutoa risiti ni issure ya awereness kwa wanunuaji wa bidhaa.

Hii ni opportunity kwa wafanya biashara.
Watu hawadai risiti. Sababu kubwa ni hawaoni sababu ya kufanya hivyo. Ekimu iongezwe. Uwajibikaji kwenye matumizi ya kodi pia
 
Tumerudi kwenye siasa za utajirisho,wacha Wana wale!
 
Back
Top Bottom