TRA inawakumbusha walipa kodi kulipa kodi kwa mujibu wa sheria

TRA inawakumbusha walipa kodi kulipa kodi kwa mujibu wa sheria

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KULIPA KODI KWA WAKATI.jpg
 
TRA hivi haiwezekani mteja akiwa na buku au 2000 au jero apunguze deni lake bila kuja huko kwenu kupanga foleni kisa tu kupata control number?

kuna namna ya ukusanyaji kodi inatia uvivu mtu hela ipo ila ukiwaza process unachoka
 
Nawasihi raia muendelee na zoezi la kukacha michango ya kodi tu maana hazijawahi kuleta tija yeyote zaidi ya maumivu tu kwa matumizi ya hovyo kama kununulia midoli ya kusalimia watu bungeni. Nchi haina huduma stable miaka 60 afya hovyo, elimu hovyo, uchukuzi hovyo yani kero tu.
 
Nawasihi raia muendelee na zoezi la kukacha michango ya kodi tu maana hazijawahi kuleta tija yeyote zaidi ya maumivu tu kwa matumizi ya hovyo kama kununulia midoli ya kusalimia watu bungeni. Nchi haina huduma stable miaka 60 afya hovyo, elimu hovyo, uchukuzi hovyo yani kero tu.
Mi wananidai 19mil eti niwe nalipa kila mwezi 1.6 wakati mshahara haufiki hata 500k
 
Mi wananidai 19mil eti niwe nalipa kila mwezi 1.6 wakati mshahara haufiki hata 500k
mzee kwani wamesema wanakudai kodi ya paye? biashara yako je umetizama vizuri maana kuna kodi ya ajira na kodi katika biashara hebu chungulia hapo
 
TRA Tanzania nilikuwa ninafanya Biashara lakini kutokana na changamoto za kibiashara nilifunga biashara tangu 2018 sasa nataka kuanza upya Biashara nyingine. nauliza naweza Kutumia TIN number ile ile? maana nilihama tayari na mtaa niliokuwa nafanya baishara. Nilikuwa pia na mashine ya EFD je ni utaratibu gani mzuri wa Kufuata au nifanye nini? je nikitumia TIN ile ile haitaleta shida?

Ile machine nitaweza kuitumia tena maana nataka kuanz abiashara tofauti na ya awali? Je EFD ile ile ya 2018 naweza kuitumia sasa?

Kipindi ambacho sijafanya biashara na sikutoa taarifa adhari zake ni zipi?
 
TRA Tanzania nilikuwa ninafanya Biashara lakini kutokana na changamoto za kibiashara nilifunga biashara tangu 2018 sasa nataka kuanza upya Biashara nyingine. nauliza naweza Kutumia TIN number ile ile? maana nilihama tayari na mtaa niliokuwa nafanya baishara. Nilikuwa pia na mashine ya EFD je ni utaratibu gani mzuri wa Kufuata au nifanye nini? je nikitumia TIN ile ile haitaleta shida?

Ile machine nitaweza kuitumia tena maana nataka kuanz abiashara tofauti na ya awali? Je EFD ile ile ya 2018 naweza kuitumia sasa?

Kipindi ambacho sijafanya biashara na sikutoa taarifa adhari zake ni zipi?
Asante sana kwa swali zuri. Ndiyo TIN utaendelea kuitumia hiyo hiyo ila unachotakiwa kufanya ni kuingia kwenye tovuti ya TRA ( TRAPORTAL) ili ubadili taarifa zako na baadaye utakuja TRA ili ukadiriwe.Mashine itabidi umtafute wakala ili aifanyie maboresho kwani kuna maboresho yalifanyika.
 
Asante sana kwa swali zuri. Ndiyo TIN utaendelea kuitumia hiyo hiyo ila unachotakiwa kufanya ni kuingia kwenye tovuti ya TRA ( TRAPORTAL) ili ubadili taarifa zako na baadaye utakuja TRA ili ukadiriwe.Mashine itabidi umtafute wakala ili aifanyie maboresho kwani kuna maboresho yalifanyika.
ASANTE
 
Asante sana kwa swali zuri. Ndiyo TIN utaendelea kuitumia hiyo hiyo ila unachotakiwa kufanya ni kuingia kwenye tovuti ya TRA ( TRAPORTAL) ili ubadili taarifa zako na baadaye utakuja TRA ili ukadiriwe.Mashine itabidi umtafute wakala ili aifanyie maboresho kwani kuna maboresho yalifanyika.
Nimeingia kwenye portal sion hiyo Option ya Kubadili taarifa. naomba maelkezo zaidi
 
Back
Top Bottom