Juzii walikuwa Wana operation ya kufunga hovyooo vibandaHabari za leo wanaJukwaa.
Leo nimeenda tangu saa 2 Asubuhi Ofisi yaTRA Kahama kwaajili ya Makadirio ya Mapato. Hadi sasa saa 7 sijapata huduma yoyote.
Wafanyakazi wa TRA wanapita pita tu bila msaada wa aina yoyote.
Kwa namna hii ndio maana tunahamasika kukwepa kodi.
TRA.
ππππππTunafungua nchi