TRA, kansa inayoimaliza bandari ya Dar es Salaam

TRA, kansa inayoimaliza bandari ya Dar es Salaam

Kwayu

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2007
Posts
502
Reaction score
96
Ufanisi ktk bandari ya dar es salaam unategemea sana efficient ya TRA. Mamlaka hii imekuwa ni kikwazo kikubwa kwani imegubikwa na rushwa ktk kila idara.Mfano kwa documents za transit unapozi lod kwenye system yao ya asy scan huchukua mpaka wiki kwa wao tra kuifanyia kazi hasa hasa kwenye department kama documentary na error management. ili documents zako zifanyiwe kazi inakupasa kutoa rushwa ya sh. 20,000 kwa kila documents. ninawaomba taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa walimulike hili swala kwa umakini. pia serikali itambue kwamba kuna trend kubwa sana ya wateja waliokuwa wakitumia banadari yetu hii wanaamia bandari za waivers bay (namibia) darbun (sa), mombasa na mozambique. gharama za kulipia mizigo zimekuwa ni kubwa sana haswa pale mteja anapochelewa kutoa mzigo wake ndani ya siku 14( kwa mizigo ya transit) mfano baada ya cku 14 wanaanza ku charge cutomer warehouse rent ambayao cku za nyuma kama miezi 2 hivi nyuma walikuwa wakicharge baada ya cku 21, hii ni tofauti kabisa na gharama za storage na removal charges. Ukiritimba, ubinafsi na rushwa vinavyofanywa na tra, pta pamoja na watoa huduma za meli ndizo sababu za kuzorota kwa bandari yetu.
 
Ufanisi ktk bandari ya dar es salaam unategemea sana efficient ya TRA. Mamlaka hii imekuwa ni kikwazo kikubwa kwani imegubikwa na rushwa ktk kila idara.Mfano kwa documents za transit unapozi lod kwenye system yao ya asy scan huchukua mpaka wiki kwa wao tra kuifanyia kazi hasa hasa kwenye department kama documentary na error management. ili documents zako zifanyiwe kazi inakupasa kutoa rushwa ya sh. 20,000 kwa kila documents. ninawaomba taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa walimulike hili swala kwa umakini. pia serikali itambue kwamba kuna trend kubwa sana ya wateja waliokuwa wakitumia banadari yetu hii wanaamia bandari za waivers bay (namibia) darbun (sa), mombasa na mozambique. gharama za kulipia mizigo zimekuwa ni kubwa sana haswa pale mteja anapochelewa kutoa mzigo wake ndani ya siku 14( kwa mizigo ya transit) mfano baada ya cku 14 wanaanza ku charge cutomer warehouse rent ambayao cku za nyuma kama miezi 2 hivi nyuma walikuwa wakicharge baada ya cku 21, hii ni tofauti kabisa na gharama za storage na removal charges. Ukiritimba, ubinafsi na rushwa vinavyofanywa na tra, pta pamoja na watoa huduma za meli ndizo sababu za kuzorota kwa bandari yetu.

Sasa unamuambia nani?? hebu ondoka zako hapa kwani TZ ina uongozi? Unategemea ufanisi chini ya Kikwette? Tushirikiane katika maombi ipo siku Tanzania itapata viongozi wenye nia ya kutuondoa Watanzania hapa tulipo. Wee kiongozi anaomba kwenda Ikulu kwa gia ya maisha bora kwa kila Mtanzania na unashoboka kumpigia kura, hivi kuna nchi imefanikiwa kufanya maisha bora kwa kila mwananchi wake? Uongo wa namna hii mimi niliushtukia na sijawahi kumpigia kura aombe Mungu kuna Tume ya Taifa ya uchaguzi iliyo chini yake na katiba inayokataza kuhoji namna alivyoshinda.
 
Suala la rushwa sio tatizo la TRA peke yake, ni la nchi nzima.

Tatizo ni kwamba rushwa inapofanyika mahala nyeti kama bandarini watu wanakuja juu. Rushwa ipo mahospitalini, mashuleni, wizarani, bandarini, mahakamani polisi n.k. Wapi hakuna rushwa bongo? Siku hizi hata kwenye nyumba za ibada wenye pesa ndio watu wa maana.

Kwa bahati mbaya Tanzania ndio imeshapoteza dira. Kiongozi wetu 'handsome' ndo hivyo tena nayeye anapelekwa shopping ananunuliwa suti anagawa rasilimali za nchi. Hivi kweli unategemea rushwa itaisha? TAKUKURU unadhani hawapokei rushwa?

Ukombozi wa Tanzania upo mikononi mwa watanzania wenyewe. Lakini kama tusipoweka ubinafsi pembeni na kujenga nguvu katika umoja, viongozi wote watakaoingia madarakani watakuwa ni viongozi wa vijisent.
 
Ufanisi ktk bandari ya dar es salaam unategemea sana efficient ya TRA. Mamlaka hii imekuwa ni kikwazo kikubwa kwani imegubikwa na rushwa ktk kila idara.Mfano kwa documents za transit unapozi lod kwenye system yao ya asy scan huchukua mpaka wiki kwa wao tra kuifanyia kazi hasa hasa kwenye department kama documentary na error management. ili documents zako zifanyiwe kazi inakupasa kutoa rushwa ya sh. 20,000 kwa kila documents. ninawaomba taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa walimulike hili swala kwa umakini. pia serikali itambue kwamba kuna trend kubwa sana ya wateja waliokuwa wakitumia banadari yetu hii wanaamia bandari za waivers bay (namibia) darbun (sa), mombasa na mozambique. gharama za kulipia mizigo zimekuwa ni kubwa sana haswa pale mteja anapochelewa kutoa mzigo wake ndani ya siku 14( kwa mizigo ya transit) mfano baada ya cku 14 wanaanza ku charge cutomer warehouse rent ambayao cku za nyuma kama miezi 2 hivi nyuma walikuwa wakicharge baada ya cku 21, hii ni tofauti kabisa na gharama za storage na removal charges. Ukiritimba, ubinafsi na rushwa vinavyofanywa na tra, pta pamoja na watoa huduma za meli ndizo sababu za kuzorota kwa bandari yetu.

TRA- nadhani unamaanisha, Tanzania Revenue Authority. Malalamiko nadhani yamekithiri, hasa ukizingatia kwambo sasa biashara inahamia kwingine na watu wakosa kazi kwa ajili yao. Ingawa nchi inakaribisha investors (wawekezaji) na kuinua private sector (wajasirimali), Hali hii inafanya ugum kufikia hilo lengo la serikali.

Hawa TRA ndio wanaujuzi wa kudhibiti rushwa. na wajua kufanya Audit. kwa kiwastani ni Accountants wa serikali. Kwa hiyo, wanajua vizuri namna kudhibiti huu ufisadi na dhuluma. Kazi ya bandarini ya customs, nadhani walipewa ili kuzidisha ufanisi wa bandari na kuondoa ufisadi. Wanajua vema namna ya kusimamisha kwa sababu hii ni fani yao na wanajua hiyo siku inakuja. Aidha italetwa na wananchi au TRA inaweza kupata kiongozi muadilifu, basi mara moja atasafisha. Malaamiko yawe Contractive. Yani kuwepo na ushahidi wa makaratasi wa kusapoti madai kama haya ya ACTIVIST. Viongozi wa juu hutaka ushahidi ili wawajibike. Na wasipo wajibika mbele ya ushahidi, nikwenda juu zaidi.

Wanainchi wakitaka kuondoa Dhuluma na ufisadi Bandarini, watafanikiwa. Hii ni nchi ya kidemokrasia, wakuu. Tusisahau.
 
Unapoona miji inavyokia kwa ajili ya kuwa na bandari tu unashangaa kwanini bandari ya dar haikuzi uchumi na muonekano wa mji huo. Dar iko pale kwa ajili ya bandari. Dar itajengwa na bandari. Kama mie ningekuwa meya wa dar ningekuwa na ofisi pale kwenye bandari, kwani ndio kinatakiwa kiwe kitegauchumi kikubwa kabisa cha kuujenga mji, ningekuwa focused, ningewakaba wote wanaoivuruga na ningehakikisha process yote inakuwa inaboreshwa mara kwa mara kukidhi matakwa ya wateja hasa wa transit., mgao wa mkoa kutoka serikali kuuu ningehakikisha unaleta matunda mjini kama migodi huko shinyanga.
Wangenniua?
Investments nyingine zingeendelea tu as long as bandari iko juu.
Dar ni mji wa bandari, kama kahama ulivyo mji wa migodi, moshi mji wa ml kilimanjaro, arusha tanzanite, mwanza samaki.
 
Unapoona miji inavyokia kwa ajili ya kuwa na bandari tu unashangaa kwanini bandari ya dar haikuzi uchumi na muonekano wa mji huo. Dar iko pale kwa ajili ya bandari. Dar itajengwa na bandari. Kama mie ningekuwa meya wa dar ningekuwa na ofisi pale kwenye bandari, kwani ndio kinatakiwa kiwe kitegauchumi kikubwa kabisa cha kuujenga mji, ningekuwa focused, ningewakaba wote wanaoivuruga na ningehakikisha process yote inakuwa inaboreshwa mara kwa mara kukidhi matakwa ya wateja hasa wa transit., mgao wa mkoa kutoka serikali kuuu ningehakikisha unaleta matunda mjini kama migodi huko shinyanga.
Wangenniua?
Investments nyingine zingeendelea tu as long as bandari iko juu.
Dar ni mji wa bandari, kama kahama ulivyo mji wa migodi, moshi mji wa ml kilimanjaro, arusha tanzanite, mwanza samaki.
Nimekubali sana ulichoeleza, ila kama huyo mkuu wa mkoa atakuwa kweli ana nia ya kuepuka hicho kitu kidogo, vinginevyo inaweza kuwa yeye akawa na watu wake wa kuchukua mlungula na hali ikarudi pale pale tu. Nadhani nchi yetu inahitaji somo la uzalendo wa nchi kwa wananchi na viongozi wote kwa ujumla, kwani inawezekana tatizo letu watanzania hatuna hisia ya nchi yetu. NI maoni tu.
 
Nimekubali sana ulichoeleza, ila kama huyo mkuu wa mkoa atakuwa kweli ana nia ya kuepuka hicho kitu kidogo, vinginevyo inaweza kuwa yeye akawa na watu wake wa kuchukua mlungula na hali ikarudi pale pale tu. Nadhani nchi yetu inahitaji somo la uzalendo wa nchi kwa wananchi na viongozi wote kwa ujumla, kwani inawezekana tatizo letu watanzania hatuna hisia ya nchi yetu. NI maoni tu.

Ulichosema ni sahihi. Tatizo liko kwetu wananchi wote. Tukiona kijana kaanza kazi na baada ya mwaka moja tu kajenga bonge la nyumba na kununua gari la fahari tunamsifia! Hapo si wote tunahamasiha rushwa?
 
Ulichosema ni sahihi. Tatizo liko kwetu wananchi wote. Tukiona kijana kaanza kazi na baada ya mwaka moja tu kajenga bonge la nyumba na kununua gari la fahari tunamsifia! Hapo si wote tunahamasiha rushwa?
Sio sisi tu tunaomsifia, hata mkuu wa nchi ameshawahi kusema kuwa ongezeko la magari barabarani ni moja ya ishara za utajiri wa tanzania
 
Kumbe TRA kima rushwa kiasi hicho! Sasa nimeona ni kwa nini wananchi wa kabila moja wamejazana hapo kuanzia Mkurugenzi Mkuu hadi dereva
 
Kumbe TRA kima rushwa kiasi hicho! Sasa nimeona ni kwa nini wananchi wa kabila moja wamejazana hapo kuanzia Mkurugenzi Mkuu hadi dereva

Wamasai eeh? Duh wamasai noma, wanajua kutega penye hela
 
Sasa unamuambia nani?? hebu ondoka zako hapa kwani TZ ina uongozi? Unategemea ufanisi chini ya Kikwette? Tushirikiane katika maombi ipo siku Tanzania itapata viongozi wenye nia ya kutuondoa Watanzania hapa tulipo. Wee kiongozi anaomba kwenda Ikulu kwa gia ya maisha bora kwa kila Mtanzania na unashoboka kumpigia kura, hivi kuna nchi imefanikiwa kufanya maisha bora kwa kila mwananchi wake? Uongo wa namna hii mimi niliushtukia na sijawahi kumpigia kura aombe Mungu kuna Tume ya Taifa ya uchaguzi iliyo chini yake na katiba inayokataza kuhoji namna alivyoshinda.

Rafiki yangu mimi ni mzalendo kama wewe na nimewahi kukereka na hili suala la hali ya rushwa ilivyo nchi hii mpaka basi. Tena ukijaribu kuonyesha kuwa uanachukizwa na rushwa na ubadhirifu wa mali za umma ukiwa ndani ya utumishi wa umma wa tanzania system nzima inakuchukia angalia walichomfanyia DCG wa TRA hakika ameondolewa kwa sababu ya kuchukia kwake rushwa na kuwashughulikia ipasavyo wala rushwa ndani ya TRA . tufunge na kusali SOKOINE au NYERERE warudi vinginevyo hali hii ni ya kudumu na tuishi nayo kwa matumaini kama mgonjwa wa ukimwi anavyoishi na virusi vyake... PERIOD
 
trend kubwa sana ya wateja waliokuwa wakitumia banadari yetu hii wanaamia bandari za waivers bay (namibia) darbun (sa), mombasa na mozambique.
Hivi ukiingiza mzigo kama vile gari kupitia bandari ya Kenya, kama Mombasa na ukalipa fees and kodis zote zinazotakiwa je ukifika mpakani Horohoro (nadhani) inakuwaje, unaanza upya na makodi na malipo? Kwa hiyo unaishia kulipa tariff za Kenya na Bongo au Kenya itakuwa bure??? Na kutoka Kenya mpaka Bongo utaliendesha kwa plate numbers gani, Kenya wanatoa temporary registration plates? Au itabidi ulibebe kwenye flat bed mpaka Bongo?
 
Hivi ukiingiza mzigo kama vile gari kupitia bandari ya Kenya, kama Mombasa na ukalipa fees and kodis zote zinazotakiwa je ukifika mpakani Horohoro (nadhani) inakuwaje, unaanza upya na makodi na malipo? Kwa hiyo unaishia kulipa tariff za Kenya na Bongo au Kenya itakuwa bure??? Na kutoka Kenya mpaka Bongo utaliendesha kwa plate numbers gani, Kenya wanatoa temporary registration plates? Au itabidi ulibebe kwenye flat bed mpaka Bongo?
Bado ukiingia bongo TRA watakubana ulipie kodi za TZ...
 
Ningekuwa mimi Rais, ningetoa amri kuwa wafanya biashara wote wa transit wawe treated kama watalii, yani kwa heshima na ukarimu mpaka wawe wanaona raha kupfanya kazi na bandari yetu.
 
Ufanisi ktk bandari ya dar es salaam unategemea sana efficient ya TRA. Mamlaka hii imekuwa ni kikwazo kikubwa kwani imegubikwa na rushwa ktk kila idara.Mfano kwa documents za transit unapozi lod kwenye system yao ya asy scan huchukua mpaka wiki kwa wao tra kuifanyia kazi hasa hasa kwenye department kama documentary na error management. ili documents zako zifanyiwe kazi inakupasa kutoa rushwa ya sh. 20,000 kwa kila documents. ninawaomba taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa walimulike hili swala kwa umakini. pia serikali itambue kwamba kuna trend kubwa sana ya wateja waliokuwa wakitumia banadari yetu hii wanaamia bandari za waivers bay (namibia) darbun (sa), mombasa na mozambique. gharama za kulipia mizigo zimekuwa ni kubwa sana haswa pale mteja anapochelewa kutoa mzigo wake ndani ya siku 14( kwa mizigo ya transit) mfano baada ya cku 14 wanaanza ku charge cutomer warehouse rent ambayao cku za nyuma kama miezi 2 hivi nyuma walikuwa wakicharge baada ya cku 21, hii ni tofauti kabisa na gharama za storage na removal charges. Ukiritimba, ubinafsi na rushwa vinavyofanywa na tra, pta pamoja na watoa huduma za meli ndizo sababu za kuzorota kwa bandari yetu.

Ni kweli mkuu, Kwa mfano bidhaa kama magari sasa hivi zinatozwa kodi kubwa sana, bora kama hiyo kodi ingekuwa inajenga nchi, lakini hizo hela zinaishia kwenye matumbo ya watu.
 
nyie mnayoongea ni kweli au ndio kawaida yenu watanzania kila siku kulalamika
 
Ufanisi ktk bandari ya dar es salaam unategemea sana efficient ya TRA. Mamlaka hii imekuwa ni kikwazo kikubwa kwani imegubikwa na rushwa ktk kila idara.Mfano kwa documents za transit unapozi lod kwenye system yao ya asy scan huchukua mpaka wiki kwa wao tra kuifanyia kazi hasa hasa kwenye department kama documentary na error management. ili documents zako zifanyiwe kazi inakupasa kutoa rushwa ya sh. 20,000 kwa kila documents. ninawaomba taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa walimulike hili swala kwa umakini. pia serikali itambue kwamba kuna trend kubwa sana ya wateja waliokuwa wakitumia banadari yetu hii wanaamia bandari za waivers bay (namibia) darbun (sa), mombasa na mozambique. gharama za kulipia mizigo zimekuwa ni kubwa sana haswa pale mteja anapochelewa kutoa mzigo wake ndani ya siku 14( kwa mizigo ya transit) mfano baada ya cku 14 wanaanza ku charge cutomer warehouse rent ambayao cku za nyuma kama miezi 2 hivi nyuma walikuwa wakicharge baada ya cku 21, hii ni tofauti kabisa na gharama za storage na removal charges. Ukiritimba, ubinafsi na rushwa vinavyofanywa na tra, pta pamoja na watoa huduma za meli ndizo sababu za kuzorota kwa bandari yetu.
wewe mtoa thread unahoja yako nyingine si bure!
 
Kumbe TRA kima rushwa kiasi hicho! Sasa nimeona ni kwa nini wananchi wa kabila moja wamejazana hapo kuanzia Mkurugenzi Mkuu hadi dereva

sasa ndugu ilo kabila moja si ndo wamesoma peke yao hapa tz,inaelekea we jamaa ni mgogo au mzaramo kama mimi!
 
Back
Top Bottom