TRA kuchelewesha kutoa leseni za udereva

TRA kuchelewesha kutoa leseni za udereva

Arnold Kalikawe

Senior Member
Joined
Sep 28, 2016
Posts
152
Reaction score
374
Miaka ya zamani kidogo ulikuwa ukiomba leseni ya udereva haichukui muda mrefu unapewa leseni yako.

Lakini siku hizi kumekuwa na changamoto kidogo hususani kwenye muda wa kuomba leseni mpaka kuja kuipata, watu wanakaa miezi hadi mwaka hawajapata leseni zao za udereva.

Shida inakuwa ni nini? Je ni vifaa vichache vya kutengenezea kadi za leseni? Au wenye ujuzi ni wachache? Au raw materials (Mali ghafi) ni chache?

Hii issue pia hipo kwenye vitambulisho vya NIDA
 
Miaka ya zamani kidogo ulikuwa ukiomba leseni ya udereva haichukui muda mrefu unapewa leseni yako.

Lakini siku hizi kumekuwa na changamoto kidogo hususani kwenye muda wa kuomba leseni mpaka kuja kuipata, watu wanakaa miezi hadi mwaka hawajapata leseni zao za udereva.

Shida inakuwa ni nini? Je ni vifaa vichache vya kutengenezea kadi za leseni? Au wenye ujuzi ni wachache? Au raw materials (Mali ghafi) ni chache?

Hii issue pia hipo kwenye vitambulisho vya NIDA

Penyeza Rupia.

Mama amesema watu wajipimie.
 
Miaka ya zamani kidogo ulikuwa ukiomba leseni ya udereva haichukui muda mrefu unapewa leseni yako.

Lakini siku hizi kumekuwa na changamoto kidogo hususani kwenye muda wa kuomba leseni mpaka kuja kuipata, watu wanakaa miezi hadi mwaka hawajapata leseni zao za udereva.

Shida inakuwa ni nini? Je ni vifaa vichache vya kutengenezea kadi za leseni? Au wenye ujuzi ni wachache? Au raw materials (Mali ghafi) ni chache?

Hii issue pia hipo kwenye vitambulisho vya NIDA
Richa ya kwamba hizi Idara za serikali Zina mfumo wa kizembe,ila nilifanya mchakato wa kupata leseni jiji la Dar,niliipata ndani ya wiki mbili tu,Tena na sms unatumiwa kwamba ipo tayari
 
Leseni na pass ya kusafiria ni vitu rahisi, ufanye mkono uwe mrefu kidogo utapata kila kitu
Yule mama niliyemkuta TRA hakuwa kama mtu wa upigaji... Kwanza hata alipokaa ni rahisi kuonekana ukijaribu kufanya mambo ya rushwa nahisi wanaokaa Mwanza wanamfahamu huyo mama wa TRA anaeshughulikia maswala ya leseni
 
Swala la reseni n depends na wapi umeomba ila kama uko serious ndani ya siku 3 unapata reseni ako vzur tu bila ubabaishaji kwa hapa dar japo we mwywe uwe mwepesi sio mtu wa kulalamika tu huku mzito
 
Swala la reseni n depends na wapi umeomba ila kama uko serious ndani ya siku 3 unapata reseni ako vzur tu bila ubabaishaji kwa hapa dar japo we mwywe uwe mwepesi sio mtu wa kulalamika tu huku mzito
Amesema anataka leseni hiyo reseni itakua umejichanganya mkuu
 
Leseni mpya ndani ya week tu kama una connection na hela. Huitaji hata kujua jina la chuo cha udereva😅
 
Mm mwenyewe nipp mwanza nahangaika kupata leseni kwa mara ya kwanza ,da
 
Nyie mnafanyaje wakuu leseni watu tunapata ndani ya week tu.
Hivi majuzi nimetoka kumchukulia mdogo wangu nimepata ndani ya siku 6 pekee hapo makumbusho.
 
Swala la reseni n depends na wapi umeomba ila kama uko serious ndani ya siku 3 unapata reseni ako vzur tu bila ubabaishaji kwa hapa dar japo we mwywe uwe mwepesi sio mtu wa kulalamika tu huku mzito
reseni = leseni
 
Yule mama niliyemkuta TRA hakuwa kama mtu wa upigaji... Kwanza hata alipokaa ni rahisi kuonekana ukijaribu kufanya mambo ya rushwa nahisi wanaokaa Mwanza wanamfahamu huyo mama wa TRA anaeshughulikia maswala ya leseni
Mmaza tolu, anavaa miwani hajawahi kutembea kwa haraka wala hacheki na mtu. Mneza kua 100 mnamngojea na akasepa kama.vile hawaoni. Pole mkuu. Mimi yangu nimerenew tangu mwaka jana mwezi wa 7 na sijawahi kurudi kuifuatilia maana najua kabisa nisingeikuta. Muhimu risiti unayo. We piga picha tunza risiti. Trafki akikudaka ni jukumu lake kuangalia kwenue system kama licence iko legit. Lakini kama ndo leseni mpya, kisanga unacho. Kalaminate risiti yao ile maana utaitumia sana
 
Back
Top Bottom