Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
TRA nawakumbusha tu, mko busy kukusanya mapato kwa wafanya biashara wanaopata faida kidogo kwa mwezi, wafanyakazi wa uma wenye vipato hadi laki 300 kwa mwezi mnawakata.
Lakini msanii anapata milioni 2 hadi 10 kwa usiku mmoja hakatwi kodi. Ama hamjui maana ya pay as you earn???
Lakini msanii anapata milioni 2 hadi 10 kwa usiku mmoja hakatwi kodi. Ama hamjui maana ya pay as you earn???