TRA kusanyeni kodi toka kwa wafanyabiashara wa ndani ya treni ya SGR

TRA kusanyeni kodi toka kwa wafanyabiashara wa ndani ya treni ya SGR

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Kunawafanyabiashara ambao wanauza vyakula na vinywaji ndani ya treni ya SGR ambao hawatoi risiti ya EFD kama sheria inavyotaka. Wafanyabiashara hawa hawalipi Withholding Tax kwa kukosa kodi ya pango, pia hawana Hati ya Mlipakodi TRA(TIN) kama ambavyo wenzao wa mitaani walivyonavyo ambavyo vinawawezesha kulipa kodi halali za serikali.

Ili kuhalalisha biashara zao zinazowahudumia abiria wengi kila siku ni wajibu wa TRA iwasajili ili waweze kupata leseni ya biashara.
 
Kunawafanyabiashara ambao wanauza vyakula na vinywaji ndani ya treni ya SGR ambao hawatoi risiti ya EFD kama sheria inavyotaka. Wafanyabiashara hawa hawalipi Withholding Tax kwa kukosa kodi ya pango, pia hawana Hati ya Mlipakodi TRA(TIN) kama ambavyo wenzao wa mitaani walivyonavyo ambavyo vinawawezesha kulipa kodi halali za serikali.
Ili kuhalalisha biashara zao zinazowahudumia abiria wengi kila siku ni wajibu wa TRA iwasajili ili waweze kupata leseni ya biashara.
Hii SGR mwaka huu itakuua. Lakini mbona mabasi bado yanajaa?
 
Wale wauza maji na korosho kwenye mabasi wanatoa efd?
 
Back
Top Bottom