Bugududu Sududu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2014
- 594
- 691
Kwahyo ni sahihi hayo makadirio natakiwa nilipe?Ungesubiria January mkuu
Dah! Ni bora ningeamua kuwa machinga tu, natembea na duka langu mkononi,Ndiyo ilivyo,,, na bado mwakani itakuwa 318,000/= kila mwaka inapanda tu,,, yalishatukuta,, mpaka sasa kwa sisi wengine tunaona TRA siyo rafiki
Mkuu kwani uliwaambia mtaji wako ni kiasi gani na pango la biashara uliandika kuwa unalipa ngapi kwa mwezDah! Ni bora ningeamua kuwa machinga tu, natembea na duka langu mkononi,
Kuliko hili balaa nilo jitakia!!
Hicho ndio kiwango cha chini kabisa cha kulipa kodi, tatizo ni huyo aliyekukadilia kwani kama umebaki mwezi mmoja tu wa ki kodi angekushauri uende january 2019,ndio wakupe makadirio hayo, ya mwaka mzima! Na wewe pia ungekuwa na uelewa usingekwenda mwezi huu, ungesubiria hadi january. Hakuna ujanja hapo kama wamesha kukadiria ninlazima tu uilipe, pole sana mkuuHabari zenu wakuu,
Mi nimeshindwa kuielewa hii kodi,
Huu mwezi wa 11
nimefanikiwa kuanzisha biashara yangu sasa nimefuatilia kila kitu na kwa levo yangu kodi nikaambiwa ni 150000 ambayo unaweza kuigawa mara 4,
Sasa ilipofika wakati wa kukadiriwa kodi naambiwa nilipe yote laki na nusu ambayo ni kodi ya mwaka mzima kabla ya tar 31 desemba eti nikichelewa napigwa faini.
Kinachonishangaza sijauza kitu chochote, afu natakiwa eti nilipe laki na nusu ambayo ni kodi kuanzia mwez januari hadi desemba wakati mimi biashara nimeanza mwez huu
Mwenye uelewa anijuze au kuna janja inachezwa??
Asante ila niamua kuondoka na sirud tena TRA hadi januari kama fain na iwe tu!Hicho ndio kiwango cha chini kabisa cha kulipa kodi, tatizo ni huyo aliyekukadilia kwani kama umebaki mwezi mmoja tu wa ki kodi angekushauri uende january 2019,ndio wakupe makadirio hayo, ya mwaka mzima! Na wewe pia ungekuwa na uelewa usingekwenda mwezi huu, ungesubiria hadi january. Hakuna ujanja hapo kama wamesha kukadiria ninlazima tu uilipe, pole sana mkuu
Ndio hivyo vyote waliniuliza nikawajibuMkuu kwani uliwaambia mtaji wako ni kiasi gani na pango la biashara uliandika kuwa unalipa ngapi kwa mwez
Zile fomu walizokupa za makadilio ukalipie bank ulibaki nazo au? Uliwaachia, kama unazo au uliwaachia na bank hukwenda kulipa umepona, subilia january tu, kwani kwenye system hujaingizwa, na hiyo january nenda kama mteja mpya kabisa, na ikiwezekana usirudi kwa huyo aliyekukadiria nenda kwa mwingine. Japi kodi itakuwa ni hiyo hiyo ila utailipa kwa awamu nne!!Asante ila niamua kuondoka na sirud tena TRA hadi januari kama fain na iwe tu!
Kiongoz natamani sana nisilipe maana unalipia kitu ambacho haujatumia inaumiza sanaUsilipe
Kiongozi pale niliwaachia kila kitu mi nilichoondoka nacho ni TIN namba tu,Zile fomu walizokupa za makadilio ukalipie bank ulibaki nazo au? Uliwaachia, kama unazo au uliwaachia na bank hukwenda kulipa umepona, subilia january tu, kwani kwenye system hujaingizwa, na hiyo january nenda kama mteja mpya kabisa, na ikiwezekana usirudi kwa huyo aliyekukadiria nenda kwa mwingine. Japi kodi itakuwa ni hiyo hiyo ila utailipa kwa awamu nne!!
Hapo huna shida we tulia january/February nenda kama mpya kabisa utaanza fresh kabisaKiongozi pale niliwaachia kila kitu mi nilichoondoka nacho ni TIN namba tu,
maana niliwaambia kuwa nitarudi basi nikaondoka moja kwa moja
Kodi unalipa ngapi na mtaji ni kiasi gan mkuu hadi iwe hvyoNdio hivyo vyote waliniuliza nikawajibu
ShukranHapo huna shida we tulia january/February nenda kama mpya kabisa utaanza fresh kabisa