Bugududu Sududu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2014
- 594
- 691
Habari zenu wakuu,
Mi nimeshindwa kuielewa hii kodi,
Huu mwezi wa 11
nimefanikiwa kuanzisha biashara yangu sasa nimefuatilia kila kitu na kwa levo yangu kodi nikaambiwa ni 150000 ambayo unaweza kuigawa mara 4,
Sasa ilipofika wakati wa kukadiriwa kodi naambiwa nilipe yote laki na nusu ambayo ni kodi ya mwaka mzima kabla ya tar 31 desemba eti nikichelewa napigwa faini.
Kinachonishangaza sijauza kitu chochote, afu natakiwa eti nilipe laki na nusu ambayo ni kodi kuanzia mwez januari hadi desemba wakati mimi biashara nimeanza mwez huu
Mwenye uelewa anijuze au kuna janja inachezwa??
Mi nimeshindwa kuielewa hii kodi,
Huu mwezi wa 11
nimefanikiwa kuanzisha biashara yangu sasa nimefuatilia kila kitu na kwa levo yangu kodi nikaambiwa ni 150000 ambayo unaweza kuigawa mara 4,
Sasa ilipofika wakati wa kukadiriwa kodi naambiwa nilipe yote laki na nusu ambayo ni kodi ya mwaka mzima kabla ya tar 31 desemba eti nikichelewa napigwa faini.
Kinachonishangaza sijauza kitu chochote, afu natakiwa eti nilipe laki na nusu ambayo ni kodi kuanzia mwez januari hadi desemba wakati mimi biashara nimeanza mwez huu
Mwenye uelewa anijuze au kuna janja inachezwa??