TRA matopeni, watuhumiwa kukithiri kwa rushwa soko la Kariakoo

TRA matopeni, watuhumiwa kukithiri kwa rushwa soko la Kariakoo

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Kwenye kikao cha wafanyabiasha na Waziri Mkuu kilichoitishwa ili kutatua changamoto zao kufuatia mgomo wa wafanyabiara ulioanza tar. 15.05.2022. Wafanyabiasha wawatuhumu maafisa wa TRA kuwaomba rushwa wafanyabiashara.

Wafanyabiashara walalamika kufuatwa mpaka nyumbani na maafisa wa TRA ili kuombwa pesa, wadai makusanyo mengi yanayofanyika sokoni hapo hayaingii serikalini ila yanaingia kwenye matumbo ya maafisa wa TRA.
 
Kwenye kikao cha wafanyabiasha na Waziri Mkuu kilichoitishwa ili kutatua changamoto zao kufuatia mgomo wa wafanyabiara ulioanza tar. 15.05.2022. Wafanyabiasha wawatuhumu maafisa wa TRA kuwaomba rushwa wafanyabiashara.

Wafanyabiashara walalamika kufuatwa mpaka nyumbani na maafisa wa TRA ili kuombwa pesa, wadai makusanyo mengi yanayofanyika sokoni hapo hayaingii serikalini ila yanaingia kwenye matumbo ya maafisa wa TRA.
Lakini mwishoni walijawa na furaha sana . Nimeona alivyoshangiliwa na wafanyabiashara
 
TRA wametungiwa Sheria za kukusanya rushwa, Kodi ni nyingi mno kwa mtu kulipa kwa hiari
 
suala la kodi kwa nini tusijifunze kwa wenzetu wa Kenya, Uganda,Rwanda na Maurtius. let us think outside the box km nchi.
 
Back
Top Bottom