TRA matumizi yenu ya mitandao ya kijamii yana mapungufu na ni upotevu wa raslimali

TRA matumizi yenu ya mitandao ya kijamii yana mapungufu na ni upotevu wa raslimali

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
FlkW4rqXgAAClBx

sasa bandiko kama hili linajibu swali la bwana yule mliyemtoza mamlioni kwa pampas na viguo vya mtoto. Hamuwezi kutumia mifano rahisi kuwafanya wananchi waelewe?

Mfano shida ya watanzania wengi iko hapa;
Mtu kanunua gari kwa dola 1000 sawa na TZS 2,270,000 inakuwaje anaishia kulipa TZS 7,000,000 kwa mfano? Sasa nyinyi mnakuja na marangi rangi ambayo hayajibu tatizo!
 
We mwenyewe hueleweki. Kwa hiyo hata hao TRA huwezi kuwaelewa maana akili zako unazijua mwenyewe
 
We mwenyewe hueleweki. Kwa hiyo hata hao TRA huwezi kuwaelewa maana akili zako unazijua mwenyewe
ni kweli na inaweza kuwa kwa sababu mie si mtaalam
 
FlkW4rqXgAAClBx

sasa bandiko kama hili linajibu swali la bwana yule mliyemtoza mamlioni kwa pampas na viguo vya mtoto. Hamuwezi kutumia mifano rahisi kuwafanya wananchi waelewe?

Mfano shida ya watanzania wengi iko hapa;
Mtu kanunua gari kwa dola 1000 sawa na TZS 2,270,000 inakuwaje anaishia kulipa TZS 7,000,000 kwa mfano? Sasa nyinyi mnakuja na marangi rangi ambayo hayajibu tatizo!
Marangi rangi [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Kinachoniumiza kutoza kodi juu ya kodi nyingine. Kwa maana ushuru wa forodha, ushuru wa bidhaa na ushuru wa uchakavu ni kodi ambazo wakati wa kukokotoa VAT huwa zinatozwa pia.
 
Nchi hii ukichukulia kila kitu silias utaishi kwa tabu sana.
 
Back
Top Bottom