comte JF-Expert Member Joined Dec 11, 2011 Posts 9,019 Reaction score 6,825 Apr 18, 2022 #1 TRA mmeweka mfumo mpya wa E filing ikiwemo VAT - unasumbua mrekebishe kama siyo njia ya kusumbua walipa kodi
TRA mmeweka mfumo mpya wa E filing ikiwemo VAT - unasumbua mrekebishe kama siyo njia ya kusumbua walipa kodi
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Apr 18, 2022 #2 comte said: TRA mmeweka mfumo mpya wa E filing ikiwemo VAT - unasumbua mrekebishe kama siyo njia ya kusumbua walipa kodi Click to expand... Nimezoea kuwa uumtetezi wa Kila jambo,ila mengi yaliegemea mabaya ya Chama lako,kumbe unaona na yanayowasumbua watanzania eehh🤔
comte said: TRA mmeweka mfumo mpya wa E filing ikiwemo VAT - unasumbua mrekebishe kama siyo njia ya kusumbua walipa kodi Click to expand... Nimezoea kuwa uumtetezi wa Kila jambo,ila mengi yaliegemea mabaya ya Chama lako,kumbe unaona na yanayowasumbua watanzania eehh🤔
comte JF-Expert Member Joined Dec 11, 2011 Posts 9,019 Reaction score 6,825 Apr 18, 2022 Thread starter #3 Townchild said: Nimezoea kuwa uumtetezi wa Kila jambo,ila mengi yaliegemea mabaya ya Chama lako,kumbe unaona na yanayowasumbua watanzania eehh🤔 Click to expand... ukitaka kufuata ukweli wewe nifuate tu hutapoteza kitu hata
Townchild said: Nimezoea kuwa uumtetezi wa Kila jambo,ila mengi yaliegemea mabaya ya Chama lako,kumbe unaona na yanayowasumbua watanzania eehh🤔 Click to expand... ukitaka kufuata ukweli wewe nifuate tu hutapoteza kitu hata
Kiongozi Miongoni Senior Member Joined Feb 6, 2021 Posts 196 Reaction score 256 Apr 18, 2022 #4 Kweli kabisa mfumo unasumbua hasa wakati wa kusubmit VAT monthly return kwa zile items ambazo umefanya bank transactions
Kweli kabisa mfumo unasumbua hasa wakati wa kusubmit VAT monthly return kwa zile items ambazo umefanya bank transactions