Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Loh
Jamani ni swala la kusikitisha..hivi tangu mwanzo wa mwezi huu kumekuwa na vijana wanajivalia tai ni vichekesho wengine sijui wametokea ****** hata rangi awajui kumechisha
utakuta wanasogelea gari za mtu ..nikamuuliza kaka mmoja mnatokea wapi wakadai TRA wanakagua road license
Wasivyo na akili wanaweza kuona gari iko sawa wanaisimamisha wanaanza kuliza ooh kadi ya gari ..oohh umechukulia wapi pambafuuuuuuuuu kadi ya gari ulinininuliza wewe...awajamaa cha kusikitisha wanapata baahati ya kukamata magari yasiyo na road license...kwa masikitiko hata pesa wanayochukua aizidi alfu kumi
sasa unaweza imagine road licennse zaidi ya laki na ,lakini na njaa zao wanaishia kuchukua alfu kumi na kupoteza mailion ya pesa..mi naomba kama ma bosi wa tra mmefanya mitaji yenu huko bandarini akulipi sana naomba takukuru wawepo kila traffic light ...haya ni mambo ya aibu hata kama njaa mnaliaibisha taifa jamani...
Jamani ni swala la kusikitisha..hivi tangu mwanzo wa mwezi huu kumekuwa na vijana wanajivalia tai ni vichekesho wengine sijui wametokea ****** hata rangi awajui kumechisha
utakuta wanasogelea gari za mtu ..nikamuuliza kaka mmoja mnatokea wapi wakadai TRA wanakagua road license
Wasivyo na akili wanaweza kuona gari iko sawa wanaisimamisha wanaanza kuliza ooh kadi ya gari ..oohh umechukulia wapi pambafuuuuuuuuu kadi ya gari ulinininuliza wewe...awajamaa cha kusikitisha wanapata baahati ya kukamata magari yasiyo na road license...kwa masikitiko hata pesa wanayochukua aizidi alfu kumi
sasa unaweza imagine road licennse zaidi ya laki na ,lakini na njaa zao wanaishia kuchukua alfu kumi na kupoteza mailion ya pesa..mi naomba kama ma bosi wa tra mmefanya mitaji yenu huko bandarini akulipi sana naomba takukuru wawepo kila traffic light ...haya ni mambo ya aibu hata kama njaa mnaliaibisha taifa jamani...