TRA must tax Diasporas

TRA must tax Diasporas

Hiyo ya definition unaileta wewe. Dr Tax alisema watapewa SPECIAL STATUS lakini wanahamaki eti I awanyima birthright. Kwa hiyo wawe treated sawa tu na birthright wengine, walipe kodi. TRA kidogo alikuwa amezubaa tu, alitakiwa awafuate tangiapo. Hili la kodi walikuwa hawajalifikiria.
Mimi nime jibu kufuatana na mleta mada kuweka mambo ya kodi, na mambo ya kodi yana fuata income tax act. 1973 as amended.
 
Stupid. These are the people whose taxes paid abroad in turn funds here and their as foreign aid plus remittances flowing everyday to your home country.Mambo ya kodi huyawezi so just shut up angalau kulinda heshima yako.ila umejitahidi za kata ziongezewe ka uwezo
 
Nadhani kabla hatujaongelea “Taxation” tuongee “Utambuzi.”

How do you tax someone you don’t recognize as a citizen or a resident?

Where do you get this audacity?

Diaspora wenye asili ya Tanzania wana haki ya kimungu ya uraia wa asili. Let’s recognize them as such.

Aidha, “Taxation Without Representation” itakuwa jambo la ajabu. Tuwatambue kama raia na wawe na representation kwenye Bunge kusimamia matumizi ya pesa wanazo tuma Kama remittances na mengineyo.

As they say, “ No taxation without recognition and representation.”

D129B988-091B-428C-9A15-AE748391FC71.jpeg
A2D1F513-D9E3-4DC7-961E-1416C6123D27.jpeg
CC7EEC75-534C-4ED7-8FF6-D948BC4FF437.jpeg
8C4F9350-5EBD-4882-AE5D-F2D1D97DC8F5.jpeg
3F037939-B7BD-45F3-BCAF-A961EDA095C0.jpeg
287B5591-FA54-47EE-842B-9160BA373C06.jpeg
 
What services are you giving them in return?

Walipe kodi alafu uzitume tena Japan zikanunue ndinga za Zero km?

Hizi pesa wanazowatumia wajomba zao huku zinatosha.

Umeongea point ya msingi sana, Yaani tulipe kodi halafu wao waishie kuwahonga malaya wao hiyo kitu haipo abadani.
 
Back
Top Bottom