Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Nimeskia kutoka kwa mdau mmoja TRA Mwanza wameipiga marufuku kampuni ya Mwanza Quality Wine Ltd wanatengezaji wa pombe maarufu mkoani Mwanza ya Power Banana wine kusitisha uzalishaji hadi wawe na mashine ya kuweka sticker za TRA ambayo inapatikana kwa M 400 kutokana na taarifa ya mdau
Na hili nasikia ni agizo kwa viwanda vyote vya pombe nchini
Tulizoea kuona sticker za TRA kwenye pombe Kali tena baadhi,sasa baada ya serikali kuona kuna viwanda vingi vya uzalishaji pombe Kali kama Shimha,Kitoko,Smart Gin na nyingine nyingi basi serikali imeamua kuleta fitna iongeze mapato kwa kuwataka wazalishaji wengine wawe na mfumo wa stika wakati wanalipa kodi vizuri.
Kama kuna ofisa TRA humu kutoka mwanza atuambie hili jambo ,manake hiki ni kinywaji pendwa kwa wakazi wa mwanza uwepo wa stika ni kukifanya kipande bei,Je ni kweli hili suala??View attachment 1040421
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hili nasikia ni agizo kwa viwanda vyote vya pombe nchini
Tulizoea kuona sticker za TRA kwenye pombe Kali tena baadhi,sasa baada ya serikali kuona kuna viwanda vingi vya uzalishaji pombe Kali kama Shimha,Kitoko,Smart Gin na nyingine nyingi basi serikali imeamua kuleta fitna iongeze mapato kwa kuwataka wazalishaji wengine wawe na mfumo wa stika wakati wanalipa kodi vizuri.
Kama kuna ofisa TRA humu kutoka mwanza atuambie hili jambo ,manake hiki ni kinywaji pendwa kwa wakazi wa mwanza uwepo wa stika ni kukifanya kipande bei,Je ni kweli hili suala??View attachment 1040421
Sent using Jamii Forums mobile app