Ni wiki sasa imepita tangu nipitie njiapanda ya Segera
askari wengi wakishirikiana na baadhi ya maofisa wa T.R.A hapo wanapokea rushwa wazi wazi bila woga .
Wakati wa usiku unapofika hapo askari anakuwahi mlangoni umpe pesa kama huna ndio kipengele unataftiwa kosa la kukufanya uingize gari T.R.A ukapaki bila kujali dereva nimepakia nyanya au karoti.
Hawa askari na maofisa wa T.R.A wanakesha hapo kula rushwa na kupoteza mapato ya serikali.
Wanalazimishia madereva tusiingie T.R.A kugongesha ili wapate buku 5 zetu na sisi tunaganga njaa tu ,msifikiri tunalalia pesa mmekuwa kero sana
Serikali fatilieni hapo Segera ni kero sana
askari wengi wakishirikiana na baadhi ya maofisa wa T.R.A hapo wanapokea rushwa wazi wazi bila woga .
Wakati wa usiku unapofika hapo askari anakuwahi mlangoni umpe pesa kama huna ndio kipengele unataftiwa kosa la kukufanya uingize gari T.R.A ukapaki bila kujali dereva nimepakia nyanya au karoti.
Hawa askari na maofisa wa T.R.A wanakesha hapo kula rushwa na kupoteza mapato ya serikali.
Wanalazimishia madereva tusiingie T.R.A kugongesha ili wapate buku 5 zetu na sisi tunaganga njaa tu ,msifikiri tunalalia pesa mmekuwa kero sana
Serikali fatilieni hapo Segera ni kero sana