MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
Hivi hawa watu wanashindwa kuweka karatasi mlangoni mpaka wanamua kuchora ukuta wa nyumba yangu ambayo nishapiga plasta? Sheria ikoje hapo? Je nikilipa watakuja wafute hizo rangi zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ghorofa ni 50000 per floorNyumba zote za makazi ya kawaida isipokuwa migorofa, gharama za property tax ni TSHS. 10,000 kwa mwaka. Magorofa ni 50,000
Hapa ni mtendaji. Ukijenga unatakiwa upate kibali na ulipe kwa jengo unalotaka kujenga kwani wengine wanajenga maeneo yasiyoruhusiwa kama eneo la barabara nk. Vijijini pi kuna mipango ya maendeleo.Nadhani hili eneo TRA walifanyie kazi, mimi niko Namtumbo kijijini huku kibali cha ujenzi napata wapi
Nyumba zote za makazi ya kawaida isipokuwa migorofa, gharama za property tax ni TSHS. 10,000 kwa mwaka. Magorofa ni 50,000
Mkuu sikuizi serikali ilishapitisha sheria ya kurasmisha makazi. Yaani unakuwa tayari ulishajenga nyumba yako bila kibali, hivyo katika kuirasmisha unachofanya ni kulipia pedsa ya kibali cha ujenzi TSHS 30,000 na kuwasilisha ramani za nyumba yako, kisha zinaidhinishwa! Hawawezi kuanza kukuchorea ramani nyingine wakati nyumba tayri ishajengwa! Hapo ni kurasmisha makazi tu!Baada ya kuandikiwa nyumba yangu kwamba niwakilishe kibari, hatimae leo nimeenda jiji, wameniambia nitoe elfu 50, nikaenda kulipia beki wakanipa skatabadhi ya malipo, baada ya hapo wakaniambia KIBARI bado hatujakupa wakasema nitakuja na ramani ya nyumba ndani ya siku 60, sasa najiuliza kama ramani ya kutoka jiji sina, na nilipewa ramani na mtu nikajenga nyumba, utaratibu ukoje? Maana wanaomba ninavyosikia ramani inatakiwa iwe na mhuri wa mchoraji.
Mkuu sikuizi serikali ilishapitisha sheria ya kurasmisha makazi. Yaani unakuwa tayari ulishajenga nyumba yako bila kibali, hivyo katika kuirasmisha unachofanya ni kulipia pedsa ya kibali cha ujenzi TSHS 30,000 na kuwasilisha ramani za nyumba yako, kisha zinaidhinishwa! Hawawezi kuanza kukuchorea ramani nyingine wakati nyumba tayri ishajengwa! Hapo ni kurasmisha makazi tu!
Kwa wachora ramani walioidhinishwa (wenye mihuli,just like mawakili tu)..
Kawalize wao wenyewe wanataka muhuri wa nani! Maana nijuavyo mimi watu wa halmashauri ndo huwanagonga mihuri ramani wakati wakizipisha. Kama ni muhuri wa mchoraji, azima hiyo ramani ulikoazima awali kisha itoe copy kisha mtafute mchoraji unaongea nae fresh najua kama ni pesa atakutoa kidogo sana kisha ipeleke!Ahsante mkuu, lakini wanasema ramani iwe na muhuri sasa najiuliza huo mhuri nautoa wapi?
Kawalize wao wenyewe wanataka muhuri wa nani! Maana nijuavyo mimi watu wa halmashauri ndo huwanagonga mihuri ramani wakati wakizipisha. Kama ni muhuri wa mchoraji, azima hiyo ramani ulikoazima awali kisha itoe copy kisha mtafute mchoraji unaongea nae fresh najua kama ni pesa atakutoa kidogo sana kisha ipeleke!
Pole mkuu! Ila Wizara ya ardhi ilishatoa utaratibu rafiki sana wa kushugulikia jambo hilo sema tu kuna watu ndani ya halmashauri za miji na majii bado wanaendekeza sana urasimu!Ahsante mkuu, leo nimeenda na ramani yangu wakasema ramani haijakamilika, ikabidi nitafute mchoraji, mchoraji nae kanambia elfu 50 nimeamua kuweka ndani kwanza maana procesa zinakuwa ndefu
Ni kama 50000 kwa kila floor ya Ghorofa kama sikosei; Hii ni Kwneye Jiji; magorofa nje ya jiji yana kiwango tofauti 30 kama sikosei; Sikumbuki vizuri; Kuna mdogo wangu ndo alinambia hivyo, Huwa ananisaidia kufanya clearance pindi niwapo ughaibun.Magorofa ni 50,000