Zion Train
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 501
- 78
dah sasa sie wengine tulikuwa tunachanga tununue hivyo viused, tutaweza kweli bei yake, si mchezo, yani nchi haitengenezi gari, haitengenezi vipuri vya magari,lakini kwa kodi, sijui sababu hao wanaopanga makodi wanapewa magari ya bure, dah mie sasa kwishnei