TRA na mfumo mpya wa kufanya valuation of Used Vehicles

TRA na mfumo mpya wa kufanya valuation of Used Vehicles

Bandari ya mombasa charges zipo hivi? Nadhani kuna haja ya kuhamia huko.
 
Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya used motorvehicles...

Mfumo mpya utakuwa kama ifuatavyo...Used vehicles zitakuwa valued on either ex-factory FOB au market value in local market...

Fuatilia link HII

Nianze na ex factory FOB..

Kwenye mfumo hu, TRA wataestablish database itakayo kuwa na bei za magari kipindi yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza...labda nitoe mfano mana kidogo ina mahesabu

Mfano: Mtu akiagiza gari aina ya Toyota Premio 2001 model..hapo ina maana hii gari imezidi miaka kumi tokea itengenezwe...kwa hilo bei pungufu itakayoruhusiwa ni asilimia 70% ya bei ilipoingia sokoni kwa mara ya kwanza..PREMIO bei yake ya awali sokoni ilikuwa USD 40,000 kwa huko Japan...

Kwa maana hiyo FOB ex factory itakuwa USD 40,000 toa 28,000 (70% of USD 40,000) = USD 12,000 na hiyo ndo itakuwa Customs Value ambayo itakuwa subjected kwenye Import Duty, Excise Duty, VAT na uchakavu (kama upo)....

Kwa namna hiyo kodi jumla itakuwa kama ifuatavyo

Import duty (ID)=0.25*12,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(12,000+0.25*12,000)
Excise (E) =0.1*(12,000+0.25*12,000)
VAT= 0.18* (12,000+ID+DF+E)

Hii ni tofauti na bei za sasa ambazo weza kuagiza premio ya mwaka 2001 kwa CIF ya USD 3,000 to USD 3,500...na kodi ingekuwa kama ifuatavyo
ukiweka na uchakavu

Import Duty (ID)=0.25*,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(3,000+0.25*3,000)
Excise (E) =0.1*(3,000+0.25*3,000)
VAT= 0.18* (3,000+ID+DF+E)


Market Valuation Method

Kwa market value method watachukua bei za sokoni Tanzania na kutoa profit margin ya asilimia 25 na kutoa gharama za kodi zilizolipiwa ili waeze kupata CIF kipindi gari linaingia nchini...Mfumo huu utatumika pale tu ambapo bei halisi wakati gari linaingia sokoni kwa mara ya kwanza itakuwa ni vigumu kujulikana...


Nachotaka kujua JE nchi yetu imejitoa kwenye World Trade Organisation? Na kama ni hivyo mbona ukiingia kwenye mtandao wa WTO bado TZ ni member country? Mana kwenye makubaliano ya WTO mfumo wa Customs valuation ni tofauti na huu unaoanza kutumika nchini..


Wadau naomba mawazo yenu

sasa bado hizi kodi mpya za mgimwa alizotangaza juzi,,,,,,,tutaendelea kushika bomba kwenye daladala au kutembea kwa TANZANIA 11(ELEVEN)
 
Dah mkuu watu wanatafuta solutions we unasubiri ile kwa watanzania wenzako waloagiza afu wakashindwa kulipia dues zao? Emu tusubiri hiyo auction kama itakua na manufaa

I made a lot of money kwenye hili, watu walitemesha mizigo, tukavuta na kuizungusha kitaa... "kwik money"

Tatizo vijana hamsomi alama za nyakati na kuchungulia principles za ubepari zinafanyaje kazi....

Kalagabaho

BTW, hii thread ni ya mwaka 2011.... Yaelekea mzee unaishi kwa slow motion au hujui kusoma kalenda wala kwenda na wakati
 
wale nikiwapa 1 M wagawane hawana ujanja. Nasuka nao dili kwanza ndo naupitisha. Ikishindikana pale Namanga nna watu wangu watalipitisha tu.
 
Back
Top Bottom