Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,466
TRA kwenye calculation tool yao tayari wameweka thamani ya magari na kukokotoa kodi kutumia thamani yao wakitumia mwaka wa gari, CC na aina ya gari tu.
Je, hii ni sahihi? na kama thamani halisi ya chombo husika sio kama TRA walivyoweka kwenye historia ya bei na ukokotuaji wao nini hutukeo?
Naomba kuwasilisha
Je, hii ni sahihi? na kama thamani halisi ya chombo husika sio kama TRA walivyoweka kwenye historia ya bei na ukokotuaji wao nini hutukeo?
Naomba kuwasilisha