welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
- Thread starter
-
- #21
Yaan wee acha,Hawawezi kumfuata mwenye nyumba maana kodi ya majengo / makazi wamehamishia kwenye umeme[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nchi hii hatari
Pia hv zile pesa zinakatwa kwny luku huwa ni za nn vile?.....Wewe ndiyo bogasi, kwann wenywewe Tra wasiweke mfumo wakudai Kodi kwa mwenye frem wambane MFANYABIASHARA,
Alaf mwenye nyumba Gani atakubali kukurudishia
TRA inapaswa kuweka mfumo yenyewe ya kudai hii Kodi kwa mwenye nyumba!
Hyo bila shaka ni Chawa wa TRA .....moja ya wasababishi wa mgomo kariakoo....wanajfanya wanajua kumbe wapuuz fulan....Kwaiyo ulichoandika unaona ni sawa? Au Wewe Ndio bogus mwenyewe? Do you think udhaifu wa TRA kwenye kukusanya hiyo 11% ya kodi unapaswa kufidiwa kwa kumminya mfanyabiashara? I thought ungeonyesha mechanism nzuri ya namna gani TRA wangeweza kukusanya hii kodi kwa mwenye jengo na sio eti mpangaji alipe halafu akadai that’s absurd!!
Kwenye luku unakatwa na tra wanakata ndiyo utajua hujuiPia hv zile pesa zinakatwa kwny luku huwa ni za nn vile?.....
Pia hv zile pesa zinakatwa kwny luku huwa ni za nn vile?.....
Ukiritimba mkubwa sana unatuumiza! Unakuja kusumbuliwa na mtu ambae tangu ametoka kwao, mateso aliyoyapata ni kukaa hostel[emoji23][emoji2960] baada ya hapo kapata kazi ya connection, alafu anaokuja kupambana nao hawajawahi kufika popote na wana mafanikio kuliko yeye anaekinga mshahara [emoji2959][emoji2959][emoji2959]Yaan wee acha,
Ukiwa na mtaji mdogo m10 kwenda chini ukataka tin esabu siku tu!
TRA wanatakiwa wamjue mmiliki, as long as jengo linatambulika kama jengo la biashara. Kama hawawezi maana yake huo ni udhaifu wanaotakiwa kuurekebisha badala ya kumtwika mzigo mpagaji.Anayemjua mmiliki ni TRA au MFANYABIASHARA?
Kwakuwa mfanyabiashara ana uhusiano wa moja kwa moja na Mmiliki wa FRAME hivyo ni rahisi kukusanya kodi hiyo kupitia kwa Mfanyabiashara.
Mfano halisi ni kama PAYE, unadhani SERIKALI haijui watu wake, si ungekuwa unapata mshahara then ww mwenyewe unaenda TRA kulipa kodi yako. But kutokana na urahisi kwa anayelipa Mshahara anaweza kuikata juu kwa juu ndio sheria inamtaka aikate kabisa.
So hii ni sawa na PAYE tu. Kwamba Mfanyabiashara atalazimika kumkata MMILIKI wa Frame kwakuwa yy ndio ana nafasi ya kuikata hiyo pesa na kuipelekea TRA.
Sio kila mmoja wetu anaweza kuzungumzia kodi kisa tu amepata TECNO yake Phantom au ITEL au INFINIX.
Kodi ya Zuio inalipwa na mmiliki halisi wa JENGO/FRAME/STORE yako.
Kwakuwa umelipa pango kwa mwenye Frame, hapa maana yake ni kwamba mwenye Frams ameingiza kipato hivyo ana wajibu wa kulipa kodi. So kutokana na urahisi wa Mfanyabiashara kwenda TRA basi sheria ikamtaka kuzuia 10% ya Pango aliyopaswa kumlipa mwenye frame na kuiwasilisha TRA kwa niaba ya MMILIKI.
Kama frame ni yako, basi utapeleka uthibitisho wa umiliki huo ikiwa sambamba na hati ya jengo hilo au kama imesajiliwa kwenye mfumo wa majengo wa TRA basi unasema na hukatwi kodi hiyo.
Ndugu zangu, kama hamjui kitu ni bora kumtafuta jirani yako akupe elimu sahihi, au anzisha uzi ambao utakufanya ueleweshwe na sio unafungua uzi as if unauelewa na unachokisema kumbe ni BOGAZ SIMAMA TUOMBE.
PROPERTY TAX... Ile ni kodi ya MAJENGO. Kodi hii haina uhusiano na biashara, iwe nyumba ya makazi, biashara, Store, kiwanda au chochote italipwa tu.Pia hv zile pesa zinakatwa kwny luku huwa ni za nn vile?.....
Yes it make. Usichoelewa ni kwamba, Before kumlipa unapaswa uikate kabisa, hawezi kukataa na hiyo ndio sheria.Kwa hiyo nimeshamlipa mtu kodi amenipa mkataba niende nikamdai Kodi ya Pango?
Does it make any sense to you?
Wewe humlipii, analipa yeye. Wewe ni kama mjumbe au agent tu wa serikali kama ilivyo kwa VAT, mfanyabiashara sio yeye anayelipa kodi hiyo.TRA wanatakiwa wamjue mmiliki, as long as jengo linatambulika kama jengo la biashara. Kama hawawezi maana yake huo ni udhaifu wanaotakiwa kuurekebisha badala ya kumtwika mzigo mpagaji.
Mimi nimlipie kodi mmiliki kisha nikamdai yeye, wewe unaona kuna logic hapo? Kila mmoja alipe kodi inayomhusu sio maswala ya kulipiana.
LUKU kule ni PROPERTY TAX, haina uhusiano na WITHHOLDING TAX.Kwenye luku unakatwa na tra wanakata ndiyo utajua hujui
Tafuta frem kwanza ndiyo uje uropoke hapaWewe humlipii, analipa yeye. Wewe ni kama mjumbe au agent tu wa serikali kama ilivyo kwa VAT, mfanyabiashara sio yeye anayelipa kodi hiyo.
Fedha yake ya kodi ww unaikata 10% kisha unapeleka TRA kwa niaba yake kama kodi kutokana na kipato alichopata mara baada ya kukupangisha wewe.
Of course unavyosema ni sahihi, in short TRA wanakwepa majukumu yao.Hakuna fact hapo, wala haina huo uhusiano na PAYE
Kwenye hio kodi, mwenye jengo hawezi kukubali. Tena, akiona hataki malumbano anapandisha kodi ili kufidia hio ninayo mkata. Mwisho wa siku naumia mimi mfanyabiashara.
TRA mjirekebishe hapo, hio modality haifai.
Nina hakika huna frem ya biashara ndio maana unarahisisha mambo hivi kama watunga sheria wanavyo rahisisha. Hakuna mwenye frem anaekubali zaidi kama unataka kupandishiwa Kodi na wengine kabla hujaingia anakwambia kabisaa TRA utajua mwenyewe.Kata kwenye PANGO usichoelewa nini? Kama pango kwa mwezi ni 1 Milion basi 100k unapelekea TRA na 900k unampa mwenye fremu hapo shida hiyo ndio maana ya WITHHOLDING TAX
Msitake urahis wa kupata kodi zenu kwa kumuumiza asiyehusika,mfateni mwenye jengo na siyo kumbana mfanyabiasharaSio kila mmoja wetu anaweza kuzungumzia kodi kisa tu amepata TECNO yake Phantom au ITEL au INFINIX.
Kodi ya Zuio inalipwa na mmiliki halisi wa JENGO/FRAME/STORE yako.
Kwakuwa umelipa pango kwa mwenye Frame, hapa maana yake ni kwamba mwenye Frams ameingiza kipato hivyo ana wajibu wa kulipa kodi. So kutokana na urahisi wa Mfanyabiashara kwenda TRA basi sheria ikamtaka kuzuia 10% ya Pango aliyopaswa kumlipa mwenye frame na kuiwasilisha TRA kwa niaba ya MMILIKI.
Kama frame ni yako, basi utapeleka uthibitisho wa umiliki huo ikiwa sambamba na hati ya jengo hilo au kama imesajiliwa kwenye mfumo wa majengo wa TRA basi unasema na hukatwi kodi hiyo.
Ndugu zangu, kama hamjui kitu ni bora kumtafuta jirani yako akupe elimu sahihi, au anzisha uzi ambao utakufanya ueleweshwe na sio unafungua uzi as if unauelewa na unachokisema kumbe ni BOGAZ SIMAMA TUOMBE.
Unavyoongea kama ni rahis vile,nyie watoto wa kishua ni tatzo,yaan umetoka shule moja kwa moja ukaingia ofisini hujui hata wanaume huko mtaani wanapambanajeAnayemjua mmiliki ni TRA au MFANYABIASHARA?
Kwakuwa mfanyabiashara ana uhusiano wa moja kwa moja na Mmiliki wa FRAME hivyo ni rahisi kukusanya kodi hiyo kupitia kwa Mfanyabiashara.
Mfano halisi ni kama PAYE, unadhani SERIKALI haijui watu wake, si ungekuwa unapata mshahara then ww mwenyewe unaenda TRA kulipa kodi yako. But kutokana na urahisi kwa anayelipa Mshahara anaweza kuikata juu kwa juu ndio sheria inamtaka aikate kabisa.
So hii ni sawa na PAYE tu. Kwamba Mfanyabiashara atalazimika kumkata MMILIKI wa Frame kwakuwa yy ndio ana nafasi ya kuikata hiyo pesa na kuipelekea TRA.
Kuna mambo huwa hayaeleweki basi tu!Pia hv zile pesa zinakatwa kwny luku huwa ni za nn vile?.....