Ni heshima na ukitaka kujua ni heshima sio kila mtu huwa anajibiwa na TRA umeona Pck pamoja na malalamiko yake yote aliyotoa Tena katoa kabla ya diamond lakini diamond ndio kaja kujibiwaDah we jamaa mshamba kweli yani kujibiwa na TRA unaona kwako ni heshima .
Soma hiyo summary ya sheria husika (regulations).
Kwenye tax investigation/audit TRA inaweza involve third party i.e bank (kwa sababu uwezi fanya bank reconciliation bila ya up to date bank statement), supplier na watu wengine unaofanya nao business transaction to match receipts zako, etc with tax auditing.
Ni hivi ili sio jukwaa la elimu tuanze kufundishana auditing or taxation.
Lakini hadi kufikia hatua za kufunga account kuna serious fraud detection au kuchukua hela zako kwenye account ni kwa sababu umegoma kabisa kulipa.
Maelezo yote hayo yatakuwa kwenye sheria husika soma kwa mapana ni wakati gani wanaweza zuia account yako.
Kwetu kumekucha, hayo ya TFF sitogusia kwa sababu sio hoja ya mjadala.
👋
Kwanini Unawaza tu kila mfanyabiashara ni mkwepa kodi?Ndg kuongoza Nchi ni shughuli pevu sana. Bila kuwa kauzu lazima upoteane,ni swala la muda tu wafanyabiashara wana mbinu nyingi sana za kukwepa kodi. Ukiwachekea unapoteana
Ndio TRA pamoja na wewe mnaulizwa ni sheria gani insyoruhusu jambo hilo? Jibu ni kutaja sheria na sio kuuliza maswali tena juu ya maswali.
TRA hata ukiwauliza base ya kuchaji kodi kwa bidhaa fulani (mfano laptop 1 iliyoingia kama learning material) ambapo ziko exempted kwa ushuru, wanakuwa hawana hiyo base badala yake wanakugeuzia kibao mteja uwaoneshe sheria inayosema bidhaa ipo exempted kwa kodi. Yaani hawataki kujibu swali la base ya taxation yao. Ndicho ulichokifanya hapa mkuu
Ni kama kuweka kufuli la pili kwenye nyumba ya mtu yeye akiwa hayupo, anarudi usiku anakuta kufuli mlangoni anakosa kwa kulala, je hiyo hasara ya kulala guest house atalipa naniInatakiwa mtu aitwe haojiwe siyo unafunguka account hata mhusika hajui kwanini account yake imefungwa.
Hii nchi ngumu sana kuishi. Fuatane sheria
Uwezo wako wa kufikiri upo chini sana, ongeza bidii ya ulaji wa samaki.Alihama manji na nchi haikuathirika yeye nani?
Alipe kodi na afuate utaratibu,TRA hawawezi muonea nasibu peke yake yeye nani
Sio pesa zake. Namtaka kwa bedUnampenda mond au unapenda hela zake si uwe honest tu 🤣
“wapinzani watetereke” by ZuchuMaendeleo yapi hayo? Hovi wa Tz mbona tunakuwa na akili za kijinga hivi?
Kodi kwa maendeleo??😁
Kabla ya account kufungiwa ametumiwa notifications mara kadhaa amepuuza.KWA NINI MSITAFUTE MAZUNGUMZO NA MTU KABL HAMJAENDA KUMVAMIA AUKUVAMIA AKAUNTI ZAKE ? WHY MNAENDESHA MAMBO KIKABURU ? NYIE NI WATANZANIA MNAFANYA KAZI NA WATANZANIA MSISAHAU HILO
View attachment 2464144
Achana na huyo huwezi kumpata njoo kwangu upate hivyo vituSio pesa zake. Namtaka kwa bed
Ila tusiwe wanafki swala lakodi wafanya biashara wengi wanalikwepa mukumbuke kipindi jpm anaingia kwa madaraka company nyingi zilikutwa azilipi kod ilipelekea company nyingi kufungwa na watu kupoteza hajira [emoji117] lakin waliokuwa wanalipa kodi bila kushurutishwa maisha hayakua magumu mfano ofisin yetu aijakutwa na seckendo yoyote ila jiran yetu alipata tabu sana ,shda kubwa munaleta ushabik pia ktk mambo ya seriouse .Uwezo wako wa kufikiri upo chini sana, ongeza bidii ya ulaji wa samaki.
Type ushahidi unaonesha alipewa taarifa akapuuziaKabla ya account kufungiwa ametumiwa notifications mara kadhaa amepuuza.
Ana makosa ya kukwepa kodi.
Lipa kodi kwa maendeleo ya taifa.
Wenye chuki na Mondi mmepata pa kusemea.Kabla ya account kufungiwa ametumiwa notifications mara kadhaa amepuuza.
Ana makosa ya kukwepa kodi.
Lipa kodi kwa maendeleo ya taifa.