Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Mkurugenzi mkuu wa TRA, na Mkurugenzi wa TANROAD, ukisafiri toka Mbeya kuja Dar, au Mwanza kwenda Dar utakuta wafanya biashara wanauza vitunguu, nyanya, etc tena kwa bei kubwa sawa na kariakoo.
Je, huwa wanalipa kodi? Vipi kuhusu sheria za TANROAD zinaruhusu??
Je, huwa wanalipa kodi? Vipi kuhusu sheria za TANROAD zinaruhusu??